Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hivi vitu sometimes unaweza kuamini aisee !!! ule si uwezo wa kibinadamuIle gemu na simba kakolanya hakua golini mkuu,
kulikua na majini pale...kakolanya alikua pembeni kabisa anakunywa kahawa,
kakolanya hana uwezo wowote.
Huu ni ujumbe ninaompelekea Kocha wa Taifa Stars , Emmanuel Amunike .
Hakuna haja ya kujiumauma , huyu golikipa si wa kawaida , haiwezekani mtu mmoja aizuie timu ya wachezaji 11 kwa dk 90 , tena si kuwazuia tu bali kuwazuia kibabe mno ! bila shaka uwezo wa Kakolanya umejidhihirisha wazi kwa kila mpenda soka.
Taifa stars inahitaji Kipa mkatili kama huyu , Yanga yote ilikufa , simba ilibaki kupambana na Kakolanya na ikamshindwa .
Nami nasubiri jibu la hili swali.Hivi ubora wa Manula ni upi hasa ?
kwa magolikipa tulionao sasa hivi, utamchagua nani mbele ya manula mkuu?Nami nasubiri jibu la hili swali.
Kama hufuatilii mpira ni heri ukakaa kimya tu.Yaani kwa kucheza vizuri mechi moja tu ndiyo awe namba moja wa Taifa Stars???!! Khaaaaa!!!??
Unapoanza kutetea ile Sacco's yenuni muda gani huwa akili zinatangatanga ?
Aaaaah!!! hili jukwaa halina uhusiano na majukwaa mengine mkuu .Unapoanza kutetea ile Sacco's yenu
Kama hufuatilii mpira ni heri ukakaa kimya tu.
Kunaaida gani ya kufuatilia mpira halafu ukaja na hoja yenye utata? Msimu huu Kakolanya amecheza mechi ngapi? Na ni ngapi zaidi ya hii dhidi ya Simba ameonyesha kiwango kizuri? Mtu unaweza ukawa unafuatilia mpira kila siku lakini ukaja na hoja inayoweza kudhoofisha timu
Kawaida mkuu, mbona sisi mnatuita Ndala na tunatulia tu, mambo ya utani hayo kaka, samahani lakini km imekukwaza.Pamoja na kuukubali uwezo wa Kakolanya lakini mimi ni Simba mkuu , usituite mikia bhana .
Ningekuwa na uwezo ningekupa hata likes miaHuu ni ujumbe ninaompelekea Kocha wa Taifa Stars , Emmanuel Amunike .
Hakuna haja ya kujiumauma , huyu golikipa si wa kawaida , haiwezekani mtu mmoja aizuie timu ya wachezaji 11 kwa dk 90 , tena si kuwazuia tu bali kuwazuia kibabe mno ! bila shaka uwezo wa Kakolanya umejidhihirisha wazi kwa kila mpenda soka.
Taifa stars inahitaji Kipa mkatili kama huyu , Yanga yote ilikufa , simba ilibaki kupambana na Kakolanya na ikamshindwa .
Aishi Manula ana bahati ya kukaa nyuma ya ukuta mzuri. Si mzuri kihivyo.Mkuu huyu Benno bado sana.. Tumpe mda wa kuendelea kujifunza toka kwa golikipa bora kabisa kuwahi kushuhudiwa nchini katika miaka ya hivi karibuni.. Tanzania 1, Aishi Manula.
Ndala linatumiwa sana na Sembo. Kuwaita mikia halali yao.Kawaida mkuu, mbona sisi mnatuita Ndala na tunatulia tu, mambo ya utani hayo kaka, samahani lakini km imekukwaza.
Hao Simba wanalawama Kama nini sijuiKinachonishangaza, mikia wanalaumu Ajibu kuanza kwa kutoa mpira nje kuliko hata magoli waliyokosa.....
Wawa na Nyoni simlikua mnawaita mababu ninyi.. Leo wamekua mabeki bora??!! Hahaha..Aishi Manula ana bahati ya kukaa nyuma ya ukuta mzuri. Si mzuri kihivyo.
Kako achunge misumari ya ya Manula huko Stars. Sifa hiyo anayo from Azam.
Ubabu uko pale pale. Teh teh tehWawa na Nyoni simlikua mnawaita mababu ninyi.. Leo wamekua mabeki bora??!! Hahaha..