Kakolanya atendewe haki

Unaujuwa mkataba was Beno na Yanga? Kama ndiyo endelea kupiga filimbi, kama siyo kaa kimyaa, maana kelele zako zitakuwa ni unafiki mtupu.
Beno anaujua ndio maana akagoma... wewe unaetaka acheze bure endelea kutoa macho kwenye kazi ya mtu.
 
Kakolanya angetumika na simba angachia gemu ya simba na yanga mliomwachia acheze peke yake, mwachezaji wengine wakakaa nyuma wote kugeukaabeki ,natamani gemu ya simba na yanga ingekuja mapema tuwapigeuhuri
Aliyeelewa alichoandika huyu mwamba anisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…