Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Upo uwezekano mkubwa wa Beno kakolanya kurejea yanga msimu ujao.
Inaelezwa yanga ipo kwenye mpango wa kuachana na Metacha mnata japo bado anamkataba wa mwaka mmoja umesalia.
Beno kakolanya amebakisha mkataba wa mwaka mmoja ndani ya Singida fountain Get, Yanga na singida black stars (Ihefu) zote zinamuhitaji.
Inaelezwa yanga ipo kwenye mpango wa kuachana na Metacha mnata japo bado anamkataba wa mwaka mmoja umesalia.
Beno kakolanya amebakisha mkataba wa mwaka mmoja ndani ya Singida fountain Get, Yanga na singida black stars (Ihefu) zote zinamuhitaji.