Kakoswa koswa kugongwa na gari akamtukana dereva, hajafika hatua mbili akagongwa na bajaji (Karma is real)

Kakoswa koswa kugongwa na gari akamtukana dereva, hajafika hatua mbili akagongwa na bajaji (Karma is real)

Jorge WIP

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
3,567
Reaction score
5,323
Leo kuna machinga kapata ajali maeneo flan akiwa anavuka, japo makosa nilihisi ni ya kwake mwenda kwa miguu

Kwanza alikoswa kugongwa na gari, maaana mwenye gari alijaribu kumpisha japo gari lilikuwa speed kidogo.. sasa jamaa kabla ya kuvuka barabara akawa anamtukana mwenye gari na kumuonyeshea vidole vya kati. baada ya kumaliza kutukana ikawa ile..

Mwenda kwa miguu anageuka tu endelee na safari akagongwa for real sasa na bajaji. kilichomponza ni maneno mingi, alikuwa ana chamba chamba sana mpaka akasahau kuangalia usalama

Funzo:
Nilichojifunza tuwe na shukurani kwa hali zote tunazozipitia katika maisha na pia maneno mengi mengi sio mtaji.

Bahati nzuri hakuumia sana though
 
.

Mwenda kwa miguu anageuka tu endelee na safari akagongwa for real sasa na bajaji. kilichomponza ni maneno mingi, alikuwa ana chamba chamba sana mpaka akasahau kuangalia usalama
Mwanaume sio wa kutumia hizi kauli

Japo uzi mzuri
 
Akome!! Tujaribu kuwa waungwana jamani ikitokea ajali tuwe watu wa kufarijiana kwa pande zote mbili sio kulaumiana na kuanza kutukanana
 
Back
Top Bottom