Kala Jeremiah amenijibu kuhusu kununuliwa kwake na Lowassa

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Juzi kipitia jukwaa la siasa nilianzisha mada kuwa Lowassa baada ya kumaliza misikitini na makanisani sasa amehamia kwa wanamuziki hii ilitokana na nyimbo za Kala Jeremia azimio la Arusha na karibu Dar ambazo alimsafisha baada ya yeye kuna wasanii pia wamejitokeza kumuosha kama Ney wa mitego na wengine.

Leo ninekutana na waraka wa Kala Jeremiah akijitahidi kujisafisha.

My take:

Hivi hawa wasanii kumbe huwa wanapitia jf?

www.bongo5.com/kala-jeremiah-ampigi...pekee-anayefaa-kuwa-rais-wa-tanzania-07-2013/
 
JF ni kwa kila mtu Mkuu, si ajabu kama aliona hapa.Tatizo wasanii wetu ni njaa kali kiasi cha kununuliwa hovyo kama vitumbua vya mihogo!
 
Sio wasanii tuu, % kubwa ya Watanzania tupo ladhi tuuze utu wetu kwa njaa ya siku moja.... Binafsi sema basi tuuu ila Tanzania tuna matatizo aiseee... Mungu tusaidie fikra mgando sijui zitatutoka lini...!!?
 
apo Kala ashaangalia upepo unapoelekea na lowasa anavyomwaga pesa,ameshazitamani pesa hizo.
pesa zilifanya yuda amsaliti yesu,
njaa ni mbaya sana
 
kala dear god ndo wimbo wake wa kustaafia game kama ilivyo kwa ney wa mitego na ule wimbo wake na diamond!....watu kama hawa ni wasanii wa mpito so wanachotaka kufanya ni kulazimisha kuwepo katika game kwa kudandia yasiyowahusu!!!!!hawana ubavu wa kutoa nyimbo nzuri tena labda hivyo vinyimbo vyao kila mwaka wawe wanavitolea remix au watafute wasanii wanaojua wawabebe katika feauturing!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…