aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Juzi kipitia jukwaa la siasa nilianzisha mada kuwa Lowassa baada ya kumaliza misikitini na makanisani sasa amehamia kwa wanamuziki hii ilitokana na nyimbo za Kala Jeremia azimio la Arusha na karibu Dar ambazo alimsafisha baada ya yeye kuna wasanii pia wamejitokeza kumuosha kama Ney wa mitego na wengine.
Leo ninekutana na waraka wa Kala Jeremiah akijitahidi kujisafisha.
My take:
Hivi hawa wasanii kumbe huwa wanapitia jf?
www.bongo5.com/kala-jeremiah-ampigi...pekee-anayefaa-kuwa-rais-wa-tanzania-07-2013/
Leo ninekutana na waraka wa Kala Jeremiah akijitahidi kujisafisha.
My take:
Hivi hawa wasanii kumbe huwa wanapitia jf?
www.bongo5.com/kala-jeremiah-ampigi...pekee-anayefaa-kuwa-rais-wa-tanzania-07-2013/