Kala jeremiah amerudi kivinginE...

Kala jeremiah amerudi kivinginE...

Niliona video nikadhani NI kitu kinginE
Kutahamaki Kala kaja vinginE
Kusikiliza zaidi kumbe sala nyinginE
Ni kaons vichaka nikajua Mpoto mwinginE
Kuangalia sana kumbe anaambiwa mjomba mwinginE
Ambayo Yuko duniani na Mbingu nyingine............... Hallo, hallo nimejitahidi hahaaaaaa!!!
 
umetisha nawe ndy wale hawavumi lakini wamo nn?..
We utakua ni fan wa mziki mwinginE, Uamsho hicho nacho ni kitu kinginE, Wakati mwinginE uulize usikisie vinginE, Wenye dini yao wasije kuanzishia menginE, Ukawajibu hovyo invisible akakupa BAN nyinginE, Usiwe kama wanaoamini hadi leo nyerere yupo penginE, hujamjua tu bado au nikuelekeze kwa lugha nyingiE, PenginE makofi ndo iwe lugha nyinginE...
 
naona wadau wanmedata kivingine,kwa sababu wamezoea zile nyingine,big up kj kwa kuwa umakuja kivingine,:majani7:
 
Back
Top Bottom