We utakua ni fan wa mziki mwinginE, Uamsho hicho nacho ni kitu kinginE, Wakati mwinginE uulize usikisie vinginE, Wenye dini yao wasije kuanzishia menginE, Ukawajibu hovyo invisible akakupa BAN nyinginE, Usiwe kama wanaoamini hadi leo nyerere yupo penginE, hujamjua tu bado au nikuelekeze kwa lugha nyingiE, PenginE makofi ndo iwe lugha nyinginE...