Kala makande na konyagi anaanza kusumbua watu usiku

Kala makande na konyagi anaanza kusumbua watu usiku

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Kuna vitu vinachekesha sana usiku wa kuamkia Leo nimekuja kugongewa na jirani yangu mlango akidai Kuna shida nyumbani kwake, kaka yake anatapika mfululizo.

Ikabidi chap chap niamke kwenda nyumbani kwake mida ya saa namkuta jamaa nje katapika makande yaani punje nzima nzima nahisi ata alikua hatafuni alafu Kuna harufu ya pombe kali hizi spirit Kwa haraka nikajua tu hili ni (bapa) konyagi.

Sasa ilibidi nicheke kwanza🤣🤣 mtu unaanzaje kunywa konyagi na makande?🤔 Wakati ile kitu Inahitaji tu nyama nyama Fulani.

Anyway ikabidi tusubiri jamaa arudishe chenji zake akae apigwe na upepo nje mpaka alivokaa sawa.

Ila binafsi namuonea huruma sana yule Binti Kwa adha anayokutana nayo sometimes anakula kipigo sana jamaa akilewa😓

Kunywa kistaarabu, haiuzwi Kwa walio chini ya miaka kumi na nane
download.jpeg
 
Sasa Jirani ndio umekuja kunisema hapa?,Sio Vizuri Ndugu yangu jifunze kutunza siri.
Jirani suala la kutapika makande limenisikitisha sana vipi kuhusu hangover? Toa Loki na makande Tena🤣🤣
 
Ulevi wa kiboya Sana huo, watu huwa wanakufa kizembe kwa kufakamia pombe Kali wakati kula yao yenywewe Ni ya kupapasia tu.
 
Kuna vitu vinachekesha sana usiku wa kuamkia Leo nimekuja kugongewa na jirani yangu mlango akidai Kuna shida nyumbani kwake, kaka yake anatapika mfululizo.

Ikabidi chap chap niamke kwenda nyumbani kwake mida ya saa namkuta jamaa nje katapika makande yaani punje nzima nzima nahisi ata alikua hatafuni alafu Kuna harufu ya pombe kali hizi spirit Kwa haraka nikajua tu hili ni (bapa) konyagi.

Sasa ilibidi nicheke kwanza🤣🤣 mtu unaanzaje kunywa konyagi na makande?🤔 Wakati ile kitu Inahitaji tu nyama nyama Fulani.

Anyway ikabidi tusubiri jamaa arudishe chenji zake akae apigwe na upepo nje mpaka alivokaa sawa.

Ila binafsi namuonea huruma sana yule Binti Kwa adha anayokutana nayo sometimes anakula kipigo sana jamaa akilewa😓

Kunywa kistaarabu, haiuzwi Kwa walio chini ya miaka kumi na nane
View attachment 2505568
Weka picha mpaka ya matapishi ya hizo kande, usiishie chupa ya konyagi tu kwa sababu umeamua kudhalilisha falagha ya mwenzako.

Ama mkewe kuja kukuomba msaada kwa nia njema kama shemeji yake wa heshima limekuwa kosa la jinai kuyafikisha mpaka huku?

Umekuwa daktari kututhibitishia kwamba kilichomtapisha ndicho ulichokiona kwa macho?

Acha izo bhana, mambo ya undava undava hayakufikishi popote.
 
Weka picha mpaka ya matapishi ya hizo kande, usiishie chupa ya konyagi tu kwa sababu umeamua kudhalilisha falagha ya mwenzako.

Ama mkewe kuja kukuomba msaada kwa nia njema kama shemeji yake wa heshima limekuwa kosa la jinai kuyafikisha mpaka huku?

Umekuwa daktari kututhibitishia kwamba kilichomtapisha ndicho ulichokiona kwa macho?

Acha izo bhana, mambo ya undava undava hayakufikishi popote.
Wapi nimeidhalilisha faragha? Kutapika ni Siri picha ya matapishi itakusaidia nini kwenye maisha yako?
 
Ebo! Kwani stori za kuchefua za matapishi ulizoleta kwenye jukwaa, sisi zinatusaisia nini?
Nakushangaa unavoshadadia vitu ambayo havikusaidii😀 si ungeacha Sasa.
Stress zako za familia unakuja kufika foka ovyo huku jf?
 
Nakushangaa unavoshadadia vitu ambayo havikusaidii😀 si ungeacha Sasa.
Stress zako za familia unakuja kufika foka ovyo huku jf?
Sijafoka na sina stress zozote, ninaongea tu kama wajibu wa mwana Jf kujadili jambo lolote linalotandazwa jamvini kadri anavyojisikia, naivleo sina kazi, kwa hiyo kila mada inayoanzishwa lazima nipite nayo kuichangia.

Unapoleta hoja hapa mkuu lazima ujiandae kupata positive&negatives hata kama wewe hautaki.

Ninadhani aliyestahili kuniacha ni wewe.
 
Back
Top Bottom