Kala Pina: Nimepoteza fedha nyingi sana kumsaidia Chid Benz

Kala Pina: Nimepoteza fedha nyingi sana kumsaidia Chid Benz

Inaonesha hii kitu tamu kuliko hata ngono
We inaonyesha unapenda sana ngono hongera,mi huwa najiuliza hivi kuna kitu kitamu sana kama kusafiri nchi nyingi duniani,maana ninavyopenda acha tu.
 
We inaonyesha unapenda sana ngono hongera,mi huwa najiuliza hivi kuna kitu kitamu sana kama kusafiri nchi nyingi duniani,maana ninavyopenda acha tu.
Hivi kuna kitu duniani kinachopendwa zaidi ya ngono?kila mtu anapendan
 
Hivi kuna kitu duniani kinachopendwa zaidi ya ngono?kila mtu anapendan
Ni kweli ngono inapendwa sana na watu wengi,ila kwangu mimi ni ya 3 baada ya Kusafiri,Pesa halafu ndio mapenzi.
 
Ukiusikiliza wimbo wa dear mama wa 2pac kwa haraka haraka madhara yake ndio hawa kina rashidi mama ana mapenzi makubwa kwa mwanae hiyo ni kawaida lakini mtoto anachezea moto badala ya kumkanya kwa kumkazia sauti unaleta mahaba matokeo yake ndio haya .
Hakuna mzazi apendae mwanae aharibike ila mzazi anacheza nafasi gani tusishikirie tu "tikiti bovu limo shambani mwako "


Umri na maisha aliokuwa nayo Chidi wakati anaanza kutumia ngada ukimlaumu mamaake Ni kumuonea bure Tu.
 
Aint no spoiled kid ,My mother was always there for me ,on my worst situations to the best of my situations ,
If you call that something else its ok cause you are entitled to your opinions ,to me that is unconditional LOVE

inawezekana wewe ni mmoja katika 100 ila ki ukweli kumdekeza
mtoto ni kumwaribu % kubwa ya watoto uaribika kwa sababu hii
 
Jinsi ya kututua suala la madawa ni jambo moja tu: MALEZI NA MAADILI. Hii sio kazi ya serikali, ni kazi ya mzazi au mlezi wa mtoto. Mbona mimi sivuti wala kunusa huu ujinga? Nimelelewa vizuri nikawa muadilifu nikachagua marafiki ninaofanana nao na kufanya kila jambo kwa wakati wake. Wakati wa masomo ni masomo. Sports ni sports, worship ni worship etc. ingekuwa ni watoto wa mitaani sawa ni jambo jingine, lakini mtu unatokea kwa mzazi au mlezi unakuwa teja? Naomba msiilaum serikali wala drug dealers, mjinga ni mtumiaji. Dealer atamuuzia nani kama customer hakuna? Hebu tushirikishe ubongo.
 
..chidi hawez kusaidika tena

Hii ndio inalea ujinga. Asaidike ili iweje sasa. Avune alichopanda. Na ilitakiwa afungwe maisha hivyo hivyo alivyo. Ndio mnawafanya vijana wadogo waobe hili suala la kawaida maana watasaidiwa. Useless.
 


Msanii Kala Pina akihojiwa na E News ya EATV amesema ametumia fedha nyingi sana kumsaidia Chid Benz ila anasikitika juhudi zake hazijazaa matunda na kusema angepata msaada zaidi angefanikiwa pakubwa
Amesema yeye ndie aliyemshawishi Chid kujiunga na Sober House na angepata msaada wa kuwa na Sober House yake mwenyewe angemponyesha na kuponyesha waathirika wengi
Ameendelea kusema tatizo la dawa za kulevya ni vijana wengi na sio Chid Benz tu hivyo nguvu zinahitajika


Huyu jamaa huwa analazimisha "harakati". Unapoteza vipi fedha kwenye suala ulilojitolea mwenyewe bila kuombwa, au ilikuwa investment?

Kuwasaidia hawa watu kunahitaji moyo na akili, sio maguvu kama anavyofikiria mshkaji.
 
Naye anakushauri utumie madawa?, anakushauri mahusiano ya jinsia moja?,uzinzi na wizi je? Msome vizuri mleta mada alichomaanisha.
 
Huyu jamaa huwa analazimisha "harakati". Unapoteza vipi fedha kwenye suala ulilojitolea mwenyewe bila kuombwa, au ilikuwa investment?

Kuwasaidia hawa watu kunahitaji moyo na akili, sio maguvu kama anavyofikiria mshkaji.
Hapo lengo lake apate wafadhili ili aanzishe sober house yake, alikuwa anaitumia ishu ya Chid kumpa boost ila imefeli
 
Hapo lengo lake apate wafadhili ili aanzishe sober house yake, alikuwa anaitumia ishu ya Chid kumpa boost ila imefeli

Nia yake ni fursa na umaarufu, sio kusaidia wahanga kama anavyolazimisha tuelewe. Inabidi apewe shule kuwa teja hawezi kuacha dawa kwa kushawishiwa, ni mpaka aamue mwenyewe kuwa imetosha. Hizo vitu zina nguvu zaidi ya ushauri.
 
kwanin ahangaike na chidi hapa ilala kuna vijana kibao wapo tayari ila wanashindwa waanzaje aje huku
 
Inaonesha hii kitu tamu kuliko hata ngono

Utamu wa hii dawa unaenda kwenye sehem ya ubongo au dopamine , pale ndo panapompa mtu raha ,, sasa kivipimo madawa ni zaidi ya mara ishirini kuzidi sex (organism) na hiyo raha inakaa kwa mda mrefu tofauti na orgasm ambayo haikai hata dk mbili..
 
Back
Top Bottom