makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sasa mtu anabakwa lodge, huko chumbani mlienda kuogelea ama kuvua samaki 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu mpe tips kidogo jinsi wanawake wanavyo vuliwa chupi[emoji38][emoji38] alitakiwa apambanee. Bora lingekuwa geto lako ungevumilia..lakini kulipia kabisa[emoji1][emoji1]
Sikutaka nimfanyie vitu vya ajabu maana kuja alikuja kwa gharama zangu so nikaona nikimnyima nauli nitakuwa sijamtendea haki. Acha nimfanyie wema japo kaniacha kwenye hali ambayo haikustahili.[emoji38][emoji38] ukiwa mwema unatoa.. dah!!!. Nimekumbushwa mbali Sana[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] kwenye kulia ndo kazingua. Huwezi kubakwa ukiwa lodge halafu ni above 18 [emoji849]Kama huwezi kutoa si bora uniambie mapema kwa leo haiwezekani Tufanye siku nyingine kuliko kufanya yote hayo kisha unaleta madharau ya kulialia eti nataka kukubaka.[emoji23]
Mnachukulia rahisi, lakini nawaambia kama demu hataki kuliwa kwa hiari yake labda ubake.[emoji38][emoji38] alitakiwa apambanee. Bora lingekuwa geto lako ungevumilia..lakini kulipia kabisa[emoji1][emoji1]
Stay TalibanKijana umri na uzoefu wako bado ni mdogo sana,,,,,hivyo usipobadilika utateseka sana....ACHA UOGA
Acha nikupe hii,,,,, Siku zote hakikisha MAPATANO PWANI,,,BAHARINI MKIFIKA NI KUVUA TU.....Nikimaanisha kabla hujaenda na demu popote hakikisha kwenye mazungumzo yenu umeweka Clear nini kinaenda kufanyika(fikisha ujumbe wako kwa njia yoyote) na hakikisha anakubali ndio muanze Safari.,,,,,Mapatano yote mzungumze mkiwa pwani,,,mkishaingia baharini iwe ni uvuvi tu,,,,na sio mpo baharini mnaanza kuulizana tena Bei ya Kibua,,,
Na mara zote ukipata Demu usianze na option za gharama,,,,anza na Cheap & straight,,,,Unaweza kula mbususu kwa laki tatu,,,,wakati kihalali ilitakiwa ule wa Elfu kumi na Saba mia tano...
Be a Man
[emoji38][emoji38] Mimi navuliwa ss hzo tips natoa wapi bhn. Nyie wanaume ndo mpeni mwenzenu mbinu.Ebu mpe tips kidogo jinsi wanawake wanavyo vuliwa chupi
Yaani analia kabsa machozi kama yote huku anatamka nataka kumbaka🙄🙄,[emoji23][emoji23] kwenye kulia ndo kazingua. Huwezi kubakwa ukiwa lodge halafu ni above 18 [emoji849]
Yes, uko sahihi. Usilipize ubaya kwa ubaya..Sikutaka nimfanyie vitu vya ajabu maana kuja alikuja kwa gharama zangu so nikaona nikimnyima nauli nitakuwa sijamtendea haki. Acha nimfanyie wema japo kaniacha kwenye hali ambayo haikustahili.
Usilipeze ubaya kwa ubaya.
[emoji1] hapana sio rahisi tunajua. Na kufosi sio jambo jema. Umetumia busara. Ila si alikupa mwenyewe go ahead kuwa kachukue room jamani?Mnachukulia rahisi, lakini nawaambia kama demu hataki kuliwa kwa hiari yake labda ubake.
Kuna watu wataniona nilifanya mistake kutoa nauli. Lakini hawajui tuYes, uko sahihi. Usilipize ubaya kwa ubaya..
[emoji38][emoji38][emoji38] akiii umenifurahisha sana.Yaani analia kabsa machozi kama yote huku anatamka nataka kumbaka[emoji849][emoji849],
Yaani nijishushie heshima yangu kwa kumbaka binti wa watu kisa mbususu yake.
Nilimuuliza uko vizuri nikaandae sehemu ya kumpuzika tukimaliza kula akajibu ndio. Labda alijua ni kulala tu na kuamka😂[emoji1] hapana sio rahisi tunajua. Na kufosi sio jambo jema. Umetumia busara. Ila si alikupa mwenyewe go ahead kuwa kachukue room jamani?
Kwanini?First time[emoji23][emoji23] hata Mimi ctoi ng'oo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimuuliza uko vizuri nikaandae sehemu ya kumpuzika tukimaliza kula akajibu ndio. Labda alijua ni kulala tu na kuamka[emoji23]
Haiba ya mtuKwanini?
Eeh alijua haguswi. 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye pilika pilika.Ulimuokota wapi
Pole kaona huna hadhi ya kuona papa lakeKwenye pilika pilika.