Just Distinctions JF-Expert Member Joined May 5, 2016 Posts 3,230 Reaction score 6,742 Sep 18, 2024 #41 Safi sana muhimu kujilipua
MENEMENE TEKERI NA PERESI JF-Expert Member Joined Mar 11, 2022 Posts 5,392 Reaction score 14,646 Sep 18, 2024 #42 Kalaga Baho Nongwa said: Ukirudi tuwasiiane mkuu Click to expand... Sawa kaka
weed JF-Expert Member Joined Sep 26, 2012 Posts 2,459 Reaction score 3,576 Sep 18, 2024 #43 Copier said: πππππππππkuna kiwanda cha rasta kinaitwa darling kipo mbagala itabidi ukakomae pale kaka. uspotengeneza radio zao watakupiga ngeta hao πππ ila nmependa ujasiri wako Click to expand... Mkuu naomba utoe mwongozo kuhusu kazi hapo kiwandani kwa faida ya wengi!au muda mzuri wa kwenda kucheki kazi pale ni asubuhi ya sangapi?????
Copier said: πππππππππkuna kiwanda cha rasta kinaitwa darling kipo mbagala itabidi ukakomae pale kaka. uspotengeneza radio zao watakupiga ngeta hao πππ ila nmependa ujasiri wako Click to expand... Mkuu naomba utoe mwongozo kuhusu kazi hapo kiwandani kwa faida ya wengi!au muda mzuri wa kwenda kucheki kazi pale ni asubuhi ya sangapi?????
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 Sep 19, 2024 Thread starter #44 weed said: Mkuu naomba utoe mwongozo kuhusu kazi hapo kiwandani kwa faida ya wengi!au muda mzuri wa kwenda kucheki kazi pale ni asubuhi ya sangapi????? Click to expand... Nenda jumatatu asubuhi na barua ya serkali ya mtaa ya utambulisho. Mshahara ni 55,000 kwa wiki 2
weed said: Mkuu naomba utoe mwongozo kuhusu kazi hapo kiwandani kwa faida ya wengi!au muda mzuri wa kwenda kucheki kazi pale ni asubuhi ya sangapi????? Click to expand... Nenda jumatatu asubuhi na barua ya serkali ya mtaa ya utambulisho. Mshahara ni 55,000 kwa wiki 2