Kalamu ya Ally Kamwe : Mkutano wa Mo Dewji

Mimi Yanga napenda aendelee azidi kuwakoroga. Azidi kuwaita majina watu wa simu za Techno za elfu 70
Kwani Simu ya TEKNO ya Elfu Sabini haikamati mawasiliano ?
Kipindi hiki Elfu Sabini ni pesa ndefu sana, inatosha hata kulipia Mahari na ukapata Jiko.
Mimi TEKNO yangu ni ya Elfu Ishirini na tano, na niliipata kwa kulipa kidogokidogo kwa mhindi hadi nilipoikomboa.
Sasa hivi natanua na Tekno yangu na ndiyo niliyoitumia kuandika hii meseji.
Wewe unatumia Simu gani ?
Na ni ya Bei gani ?
Au Umepigwa hapo Kalia Koo ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma vizuri. Hayo maswali kuhusu elfu 70 muulizeni mtu wenu Manara. Alikuwa dalali tapeli wa magari Kariakoo. Sasa Simba imemjenga hadi anawaita wapumbavu. Maana hela anayo kwa sasa.
 
Mikia siyo Baba na mama yake ,Baba yake ni Yanga sasa mtu kuwaambia ukweli imekuwa nongwa?
 
Tatizo Haji Manara ni Mswahili sana.
Anafikiri anajibizana na mashabiki wa Simba wa Buguruni na Tandika kumbe wengine wanatoka Masaki.
 
Huenda wewe ndio Manara mwenyewe ila tumekuchoka mkuu. Huwezi kuanza kutusema na vitecno vyetu.
W
 
Manara endelea kukomaa na hao vyura! Wewe ndo saizi yao! Sasahivi mtani wa jadi wa yanga ni Manara na sio simba tena.
 
Soma vizuri. Hayo maswali kuhusu elfu 70 muulizeni mtu wenu Manara. Alikuwa dalali tapeli wa magari Kariakoo. Sasa Simba imemjenga hadi anawaita wapumbavu. Maana hela anayo kwa sasa.
Hakuna mahali Manara kawaita washabiki wa Simba sc kuwa ni wapumbavu.
Kama ni umaarufu hata wewe ni mtu maarufu pia
Jiulize Umaarufu wako umeupata wapi ?
Ulipozaliwa ulikuwa maarufu tayari ?
Kama hukuwa maarufu wakati wa utotoni kama manara, basi nyote mmeupata umaarudu mahali fulani.
Kama ni hivyo msidharauliane basi, kwani wote mmeupata umaarufu ukubwani.
Bila mahali hakuna umaarufu.
Wewe mahali pako palipokupa umaarufu ni wapi ?
Hadi unajulikana namna hii ....!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…