Kalamu ya Mkali: Kuundwa kwa Kamati ya Mwigulu ni Matumizi Mabaya ya Fedha za Umma

You asked,"Hizo a lot of sources of revenues ni kama zipi?"

1.Mipaka:Yapo magari mengi yanayopita huko,yatozwe Kodi,tena in US Dollars.
2.Bandari in many areas.Kwa mfano hata meli zinazotumia Bandari zetu zitozwe Kodi vizuri na kuwe na udhibiti mzuri wa MATUMIZI.Ilivyo Sasa mm,upo uvujaji mkubwa wa mapato na MATUMIZI mabaya mno.
3 Bidhaa mbali mbali zisizo za muhimu,kama vileo,s
,Cosmetic off all kinds,decorations of all kinds,simply chochote ambacho sio muhimu for life niongezewe kodi,including magari madogo.
3.Meli za uvuvi kwenye bahati zetu za wazi,zitozwe Kodi.
4.Viwanja vya ndege.Hata Ndege zinazotumia viwanja vyetu zitozwe Kodi.
5.Utalii:Hapa pia Kuna hela.Tuangalie jinsi ya kupata hela hapa.

6.Uchimbaji wa madini:Hapa pia Kuna hela.Tuangalie jinsi tunavyoweza kupata fedha hapa,najua zipo.
7.Kilimo hasa wawekezaji na waagiza bidhaa.Tuangalie modalities za kupata fedha hapa.
8.Viwanda.Vipo viwanda muhimu na visivyo vya bidhaa muhimu,tuangalie jinsi ya kupata fedha zaidi kwenye viwanda visivyo vya bidhaa muhimu.

To me hawa watu wetu waki-brainstorm zaidi naamini tutapata fedha nyingi sana,hata kuliko ambazo tunapata kwenye tozo.To me this is Poll Tax,nothing less,which takes us back to the colonial era,which is shameful indeed.

Labda nimalizie kwa kutoa angalizo.Ukusanyaji wa mapato Ni swala lingine na MATUMIZI Ni swala lingine.Hali ilivyo sasa ni kwamba ukusanyaji ni mbovu, matumizi ni mabovu na vyanzo ni vichache.Tufanye Nini?Tuhakikishe kwamba tuna-maximize vyanzo,kutoka kwenye hivyo vyanzo tuna-maximize mapato,halafu tunatumia mapato yetu vizuri.If we do that hatutakuwa na haha ya "Poll Tax" kwa wananchi wetu.Already they are heavy burdened by taxes.
 
Haaa 😁😁 Nimecheka Sana,hivyo vyote unavyopendekeza vinatozwa Kodi,kuongeza Kodi zaidi ni kuwakimbiza Mzee..

Mwisho hizo areas zinaboteshwa na devidends zake ni za mda mrefu sio za mda mfupi and so kadiri zinavyoboreshwa na kuleta mapato itasaidia kupunguza rates za tozo hadi zitakapofutwa mazima..

But in short ran tozo lazima vinginevyo tutabakia kufanya Vijijini kuwe jehanamu kama zamani afu unahimiza kijinga akajiajiri kwenye kilimo hakufikiki Wala hakuna umeme Wala huduma za afya,hiyo haipo..

Narudia tena hoja yangu ni genuine na ni Wapuuzi tuu ndio wanapinga hasa watu wa Mjini,Pinga ila walio wengi wanaonufaika hao wa Vijijini wanakubali so haihitaji wote tukubaliane..
 
Katika maeneo niliyotaja nimesema span iwe widened,na kuwe na kutenganisha it be service or good kwa umuhimu.Kwa mfano kwenye imports zile ambazo sio muhimu zitozwe zaidi. Kwa mfano in cosmetics,kodi zipandishwe.Bia kodi ziongwezwe ili mradi tu wananchi wasitozwe tozo.Kwenye sigara nako hivyo hinyo.Ilivyo sasa ni kama ipo nia ya kumkomoa mwananchi mnyonge.

Fallacy unajua nakushangaa sana,huna empathy kabisa na human nature imekutoka.It seems you attended this years' WEF meeting na lile liroho la Claus Schwab likekuvaa kabisa,Dah!

Niseme hivii,serikali isichukulie hili swala mzaha,we know it is possible,hakuna haja yoyote ya tozo,huku ni kuwaibia wananchi.Hatukuona tozo kwa Mwl.Nyerere,Mzee Ruksa,Mkapa,Kikwete,wala Magufuli,why now.Infact Magufuli alifanya wonders,bila hata tozo.The last time we so Poll Taxes was in the Colonial government,shameful indeed.
 
Ni kama unahoja. Halafu tunaambiwa matumizi yanaidhinishwa na Bunge. Sasa matumizi haya ya 6 bil kama ni kweli yameidhinishwa na nani?
 
Hapa kinachozingumziwa ni kamati na matumizi yake, hayo mengine yalikua kujaziajazia tu jibu kwenye issue ya kamati kutumia hizo pesa ipo sawa?
 
Wewe umeshiba humjui mwenye njaa.Halafu umefanya utafiti gani unaothibitisha kwamba ni watu wa mjini tu ndio wanao lalamika kuhusu tozo,kama upo naomba utuletee hapa,kama huna you are misguided and your assertion is fake.

Fallacy unanikumbusha in some way Waziri wa zamani wa fedha Bw.Mramba aliposema Ndege ya Rais itanunuliwa hata kama Watanzania watakula majani! What you are infact saying is similar to Mr.Mramba's comment,and that is tozo itatozwa hata kama Watanzania hawataki na watadumbukia kwenye lindi kubwa la umaskini kwa sababu ya kodi nyingi wanazotozwa.Hiki ni kiburi cha hali ya juu sana.Kama wewe ni kiongozi,where ever you may be,jitafakari,kiatu ulichovaa hakikutoshi,and there is already a writing on the wall against you.
 
Ni kama unahoja. Halafu tunaambiwa matumizi yanaidhinishwa na Bunge. Sasa matumizi haya ya 6 bil kama ni kweli yameidhinishwa na nani?
Mkuu hii nadhani sio hoja ya msingi sana kwao they may easily brush it out by saying ipo allocation ya dharura ambayo haihitaji idhini ya Bunge. Swali la msingi hapa ni kwamba hii kweli ni dharura?The answer is no,kwa hiyo haya bado yanabaki kuwa matumizi mabaya ya fedha za wananchi!
 
Sidhani kama hii ni kweli! kuna vingi vya kushangaza kwenye hiyo nchi lkn hili nakataa, data zimepikwa hizo,,, kwa mwenye akili timam haingii akilini
Bado tunasubiri data zako mkuu.Ila mbona kwa kwa Tanzania 250,000/= kama perdiem kama nia
ni kukuziba mdomo, which I believe is the case sio nyingi sana.Notice pia hizo emoluments zingine,ni way too much,kitu ambacho "kinaashiria" kwamba ni hongo.
 
Tumia bongo yako vyema na uache kujitoa ufahamu.
 
Zimefutwa tozo za nyie majizi wa mjini mnatumia banks..

Hoja yangu haijabadilika.
Kwa nini wazifute na kumbe watu wa mjini ni majizi.Ukweli ni kwamba ukweli umedhihirika kwamba hizo taxes ni illegal and your idea has crumbled,bad luck,pamoja na kwamba you seem to be a benefactor of the illicit taxes.
 
Kwa nini wazifute na kumbe watu wa mjini ni majizi.Ukweli hata hivyo ni kwamba ukweli umedhihirika and your idea has crumbled,bad luck,pamoja na kwamba you seem to be a benefactor of the polls.
Mjini kuna makupe na machawa wanaonyonya jasho la watu wa Vijijini
 
Acha ushamba na umbumbumbu wewe,services zote zilizopo mjini siku hizi zipo vijijini.
Kamdanganye mke wako..

Kijijini kuna maji ya Bomba? Kuna hospital? Kuna barabara za lami? Kuna banks?

Pumbavu,nyie makupe na machawa mumekataa tozo Ili zipeleke hizo huduma Vijijini..

Yet mnalalamika kwamba Bei ya bidhaa za wakulima ziko juu mnataka mnunue Kwa bei za kinyonyaji..

Mshukuru Mwendazake kafariki,mngelipa si mnadekezwa na SSH.
 
Hivi wewe una kaa Tanzania ipi?Comment yako hii
👉Kijijini kuna maji ya bomba? Kuna hospital? Kuna barabara za lami? Kuna banks,? inaonyesha wazi Tanzania huijui.Vijijini kuna maji ya bomba,lami na hata mawakala wa bank.Na mbona upatikanaji maji na Barbara za lami havina uhusiano na tozo.Umesahau kwamba barbara za lami zinapitia vijiji vingi tu.Naona unapayuka tu baada ya hoja zako kusambaratika.Again pole,umekosa hela ya ku-pinch.
 
Pumbavu wewe,mimi nafanya Kazi Kijijini huna cha kunieleza na mtumbo wako huko Mjini.
 
Pumbavu wewe,mimi nafanya Kazi Kijijini huna cha kunieleza na mtumbo wako huko Mjini.
Kwa hiyo mawakala wa NMB vijijini hawapo,mbona Kijijini kwetu wakala wa NMB yupo?

Basi bwana Wananchi wameshinda,that was the goal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…