Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
fluid
Msidanganyane jamani enyi watuwa Arusha na wasanii wenu,hakuna msanii wa Arusha anaweza kupigana na Pina akiwa pekeyake,labda atumie mabeto yenu au wawe mob,huyo Bou Nako hawez kumfanya lolote Pina yeye kama yeye.Stay away from Pina aisee Dudubaya mwenyewe alisanda.
Msidanganyane jamani enyi watuwa Arusha na wasanii wenu,hakuna msanii wa Arusha anaweza kupigana na Pina akiwa pekeyake,labda atumie mabeto yenu au wawe mob,huyo Bou Nako hawez kumfanya lolote Pina yeye kama yeye.Stay away from Pina aisee Dudubaya mwenyewe alisanda.
Last edited by a moderator:
