Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Roma mbwiga tu, kwao Duga Maforoni huko. Angekuwa mtoto wa jiji asingebakwa wanamgambo.
Hvi kuzaliwa town ndo ujanja au ???yaan mm hua nashindwa kuwaelewa hawa wabaosema watoto wa mjin kumbe ndo mifara no moja kazi kusema mm wa town arafu huku linazeekea kwenye nyumba ya wazazi
 
Hamna wale jamaa ni watamu tu wakikutana na walaji kama Kalapina, hebu niambie kijana mzuri kama yule aliyemuonyeshea bastola Napeh yule anachapwa vizuri tu labda akurushie risasi mwilini.
Hahaha na wenyewe wana akili lazima wanakua wanajua mtu wanaemfuata sasa mtu kama kalapina wanajua mtata hawawezi kumfuata kama walivyoenda kwa roma.
Yule atakuja kustuka miguu ya kuku mitatu inamuangalia yeye, hapo ataingia kwenye gari mwenyewe. Achana na ile kitu mkuu lazima uwe mdogo.
 
Hvi kuzaliwa town ndo ujanja au ???yaan mm hua nashindwa kuwaelewa hawa wabaosema watoto wa mjin kumbe ndo mifara no moja kazi kusema mm wa town arafu huku linazeekea kwenye nyumba ya wazazi


Unaona tatizo la wa bush, hata halafu unasema arafu.
 
pina kama nimemuelewa ni kwamba "Hatokubali kutekwa kirahisi" ingawa Uwezekano wa kutekwa upo thus anasema kama atatekwa na kufikia hatua ya kuwekwa ktk Gari Bsi atakua kishapambana vya Kutosha, so Isionekane labDa kaonDoa Uwezekano kbs kwamba HAIWEZEKANI KUTEKWA
Ni kauli ya Kujiamini though ingawa Vita Haina Macho
 
Pina bana hayo maneno tu,auelewe km watamtaka yy watakaomfata watakuwa fit km au zaidi yake.......aliamua tu kufurahisha watu halafu ngumi haipai km chuma.........
 
It is better todie onyour feet than to live on your knees, kwa asilimia kubwa ya waliocomment wangejipaka wenyew mafuta kumrahisishia kakamtekaji. Wanaume wadar wanatiaaibu mno
 
Duuu itakuwa movies kama kma ile ya the hard way only way pale wale makomandoo walitumwa kwenda kumkamata gwiji wa madawa ya kulevya wakagawana njia na yule baunsa niga akakutana na askari 6 wote akawapasua na kukimbia porini
 
Wewe mkaka pina ni mtukutu na mtata balaa hawa askari wetu hawamuwezi kabisa

Mmmh,,huyo PINA mbona mchumba tu wewe, kuna maaskari wapo fit,,achana na hao unaowaona kwenye vituo vyenu vidogo vya uswahilini,,,kuna askari wa kikosi maalum cha kudili na watukutu,,lakini huyo KALAPINA ni mwepesi sana hajafikia kiwango cha kushughulikiwa na hao kama watamuitaji,,, jamaa wapo fit kila idara,

, huyo KALAPINA amefanya tukio gani hadi anaitwa mtata, , kwanza hajawai hata kuwekwa lockup au kwenda jela kwa tukio labda la kumpasua mtu au fujo fulani,,,unamjui yule jamaa mwenye kesi aliemtoboa mtu macho, , sasa yule ndio sample ya watu Watata,
 
Mfano watekaji wanamuonyesha mguu wa bata, kalapina kuna nini hapo,hapo watakacho unawatekelezea.hata wakiwa wawili tu.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom