Peace kwa vinega kwa kila movement mnayofanya.Mzuka sana kwa Umbwa Lotuno kwa kujiunga vinega. Itakuwa fresh kama utamfundisha Pina hip hop, nakumbuka track yako ya si lazima uliposema, "Hip hop ni Mwanza na Arusha,dar mnatuyeyusha, mara maemsii mashoga, maemsii waoga, battle kwa sana mpaka Hip hop irudi,msitetereke kama wakurdi". Pa1 sana vinega!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hip hop ya mtaa inahitaji akili sana, huwez kukurupuka ukasema unafanya sanaa, kama unataka beto kuwa mvumilivu wa kero