Peace kwa vinega kwa kila movement mnayofanya.Mzuka sana kwa Umbwa Lotuno kwa kujiunga vinega. Itakuwa fresh kama utamfundisha Pina hip hop, nakumbuka track yako ya si lazima uliposema, "Hip hop ni Mwanza na Arusha,dar mnatuyeyusha, mara maemsii mashoga, maemsii waoga, battle kwa sana mpaka Hip hop irudi,msitetereke kama wakurdi". Pa1 sana vinega!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
huwa nasikiliza nyimbo za huyu jamaa, kuna ule wa umoja ni nguvu humo ndani anasema ''siwezi kula nguruwe, siwezi kuabudu sanamu...''. wimbo wake mwingine mpya wa hivi karibuni anasema ''wanaabudu msalaba...'' .inafahamika yeye ni Muislamu sasa sijui maneno haya kwa nini anayapenda sana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yani jamaa alipoandika barua ya kuomba msamaha Clouds kwa kosa walilomfanyia wao,kila mtu alimdharau...hadi Hashim dogo mpaka kesho anamcheka uyu jamaa..unajua kwa wasio mjua Pina wanamchukulia bonge moja la kamanda kumbe mweupe tu,utoto mwingi.
Hivi Hashim yupo??Kalama ni mdini kupindukia mimi huwa nashangaaa anavyojiita Kikosi wakati alisha hama kikosi, kikosi kimemtenga kwa sababu ya mamboyake ya kujifanya mgomvi wakati alikuwa anawategemea kikosi wamsaidie aanzishe ugomvi. Toka kikosi asili wamtose sijawahi sikia kaanzisha vurugu, hata Nakoz walikuja mpa kichapo Block 41 KITU AMBACHO kisingewezekana kama angekuwa na kikosi asilia.
Jamaa ni CUF asiyekuwa na akili, Hashim na Mzoba walimtosa (hawa ndio walikuwa viongozi wake na waislam wa kweli wakiishi uislam na kuongea uislam kamwe si wagomvi ila ukiwachokoza hesabu umeumia) Hashim Dogo mwendawazimu rudi kwenye gemu heshima irudi vijana wanatukana kambi
Mkuu hebu rudi tafadhaliKalapina a.k.a Nabii koko...ni mdini kweli..kama alivyo Hashim dogo..na si Pina Tu kikosi chote wana itikadi hiyoo ya kidini
ila tatizo la Pina ni kujifanya yeye Frontline kila kitu
Ishu ya yeye na clouds jamaa alihaidiwa kipindi cha Tv cha Hip hop..kipindi kile anafanya Hip hop bila madawa
Kwanini Pina hayuko na Vinega?
Pina Anadai wakati yeye anafanya harakati zake za kudai haki ..eti wasanii( VINEGA)..hawakumpa sapoti...kasahau kuwa alikuwa anawapiga baadhi ya wasanii...
Nitarudi....