Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
- Thread starter
- #41
Mkuu ata AS Vital Club, ni timu ambazo hatua za makundi haziwasumbui, nasi itabidi tuige mifumo yao. Ili tutengeneze soko kwa Kilabu chetu #Simba ScMi huwa naangalia najaribu kulinganisha, hivi team Kama zesco ukitazama wanatuzidi kipi? Lakini kucheza CL kwao Ni kawaida( kuanzia group stage).
Inatakiwa Simba ijitahidi kufocus kwenye CL competitions ili club ijiendeshe kwa faida.