Da Gladiator JF-Expert Member Joined Aug 3, 2020 Posts 1,641 Reaction score 2,646 Sep 3, 2020 Thread starter #41 Saguda47 said: Mi huwa naangalia najaribu kulinganisha, hivi team Kama zesco ukitazama wanatuzidi kipi? Lakini kucheza CL kwao Ni kawaida( kuanzia group stage). Inatakiwa Simba ijitahidi kufocus kwenye CL competitions ili club ijiendeshe kwa faida. Click to expand... Mkuu ata AS Vital Club, ni timu ambazo hatua za makundi haziwasumbui, nasi itabidi tuige mifumo yao. Ili tutengeneze soko kwa Kilabu chetu #Simba Sc
Saguda47 said: Mi huwa naangalia najaribu kulinganisha, hivi team Kama zesco ukitazama wanatuzidi kipi? Lakini kucheza CL kwao Ni kawaida( kuanzia group stage). Inatakiwa Simba ijitahidi kufocus kwenye CL competitions ili club ijiendeshe kwa faida. Click to expand... Mkuu ata AS Vital Club, ni timu ambazo hatua za makundi haziwasumbui, nasi itabidi tuige mifumo yao. Ili tutengeneze soko kwa Kilabu chetu #Simba Sc