Kwani wee muda wote unajipindua tuu!![emoji86] [emoji86]Kila nikijipindua napigwa BAN. Yaani zinafukuliwa mpaka posti za zamani. Je inawezekana mtu akawalipa MoDs ili memba afuatiliwe na kupigwa BAN?
Maana huu sasa ni utani kwa sababu huwa nakosa raha kabisa nisipoweza kuchangia JF.