DOKEZO Kaliua District Hospital ichunguzwe

DOKEZO Kaliua District Hospital ichunguzwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
May 19, 2023
Posts
20
Reaction score
34
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Naomba hospitali hiyo ichunguzwe maana Watumishi wanamlalamikia Moi wao kwa kutowapa na kuwaibia stahiki zao.

Pia Mkuu huyo Hana maelewano na Watumishi wa chini yake Sababu ya ubinafsi na ujuaji wake.

Naomba fedha zote zilizotoka zifanyiwe auditing ktk matumizi ili kubaini matumizi hewa ya pesa,Naomba kuwasilisha
 
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Leta ushahidi
 
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Peleka malalamiko yako kwa mkuu wa wilaya, haraka.
 
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
pumbavu zemi.... wananchi wakilalamika mbona huwa hamuwa sikilizi.... mkuki kwa nguruwe...
 
Yaani mwongozo mlipwe elfu 40,000 yeye anawalipa elfu 15,000.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mwongozo mlipwe elfu 40,000 yeye anawalipa elfu 15,000.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matokeo ya kufanya kazi kihuni huni bila kufuata policies au sheria za kazi, CEO yeye na mlipa mishahara yeye utafikiri hakuna finance/ payroll department, kwa wanaojitambua finance/payroll department haiwezi kumkata mtu mshahara au bonus yake kwa maneno ya CEO tuu
 
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama unaogopa kujulikana andika barua ya malalamiko badili mwandiko alafu barua katumbukize kwenye sanduku la maoni la kwa mkuu wa wilaya hata kwa mkuu wa mkoa, au nenda peleka barua kwa ps vaa miushungi ili wasikujue Kuna makamera kamera, au tumbukiza posta hizo barua za malalamiko.
 
Matokeo ya kufanya kazi kihuni huni bila kufuata policies au sheria za kazi, CEO yeye na mlipa mishahara yeye utafikiri hakuna finance/ payroll department, kwa wanaojitambua finance/payroll department haiwezi kumkata mtu mshahara au bonus yake kwa maneno ya CEO tuu
Hatari sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Unaweza kuta serikali yako ndo inakula hiyo 25, 000/- tatizo mnaiamini sana hii serikali.

Acheni wale tu, maana hakuna ambaye haibi hii serikali, kila mtu aibe, ni sawa tu. Na wewe ukiweza iba.

Mwacheni mzee wa watu atembee na urefu wa kamba, ni halali yake kula urefu wa kamba, sio?
 
Kuna vitu haviko Sawa kwenye post yako.

Hizo posho za elfu 15,000 wa kulalamikiwa anapaswa kuwa ofisi ya uhasibu hapo hospital maana ndio inayoverify malipo au Cashier. Huyo unayemlalamikia hapa inawezekana kaangalia bajet ya hospital Kwa mwaka akaona akilipa 40 basi hata January haifik fungu litakuwa limekata.

Pili unasema chakula na posho za vikao havitolewi then hapo hapo unasema hataki kuitisha vikao. Umenichanganya
 
Tamisemi halmashauri zinahitaji reform kali sana na ufatiliaji wa karibu hawa viongozi wamekuwa wapigaji sana

Kuna chanjo ya polio itaanza tarehe 21 Sept kuna watu wanapiga hela sana mfano seminar watu wanatakiwa kwenda siku tatu wao wamesema siku moja halafu washaiandika kabsaaa kwenye excel watu wataenda seminar siku tatu na watalipwa siku tatu Je hayo malipo ya siku mbili yanaenda wapi?

Uhuni umekua mwingi
Naomba serikal kuu muwe mnalipa haya malipo moja kwa moja kutoka kwenu kama ilivo salary's

Ajira mpya hadi leo hawajapewa pesa zao za kujikimu ukiwauliza wanasema muwe na adabu halafu tuta kuspot hivi hii ni lugha gan ya kumjibu mtu mzima hivi

Kuna watu wamekuwa miungu watu kwenye hizo ofis za halmashauri

Check halmashauri ya Kalambo Rukwa na sumbawanga Rukwa
 
Kuna vitu haviko Sawa kwenye post yako.

Hizo posho za elfu 15,000 wa kulalamikiwa anapaswa kuwa ofisi ya uhasibu hapo hospital maana ndio inayoverify malipo au Cashier. Huyo unayemlalamikia hapa inawezekana kaangalia bajet ya hospital Kwa mwaka akaona akilipa 40 basi hata January haifik fungu litakuwa limekata.

Pili unasema chakula na posho za vikao havitolewi then hapo hapo unasema hataki kuitisha vikao. Umenichanganya
Waanze na muhasibu sio kukurupuka na incharges, unazingua.
 
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,

Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.

Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.

Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.

Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.

Nawasilisha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wizara ya Afya Tanzania mje huku kuna fisadi anatesa watumishi
 
Back
Top Bottom