pilikapilika2013
Member
- May 19, 2023
- 20
- 34
Ndugu Wana jf, Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na ofisi ya rais Tamisemi,
Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.
Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.
Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.
Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.
Nawasilisha
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ninapenda kuanika ufisadi mkubwa unaofanywa na Medical officer incharge bwana Charles conorady ktk idara tofauti tofauti.
Mosi, anawalipa watumishi extra duty ya 15 elfu wakati Mwongozo wa wizara ni 40 na anatamba kuwa hakuna wa kumgusa.
Pili, baadhi ya haki za Watumishi kama vyakula na posho kwenye kikao havitolewi, lakini ukifatilia unagundua alishatoa pesa kwa ajili ya matukio hayo.
Tatu, Haelewani na Watumishi karibu wote na hataki kuitisha kikao na Watumishi maana anajua kabisa juu ya maovu aliyoyafanya, Tafadhal Waziri Ummy na wa Tamisemi mtusaidie Kaliua District hospital na Watumishi kwa ujumla.
Nawasilisha
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app