KALOLENI CENTRE FOR CPA REVIEW CLASSES-STARTING ON 5th JANUARY 2014
Once again! "The Centre that Unlocks your Potentials" will be open for CPA review classes from 5th January 2014.
1. Je, uko maeneo ya Arusha na unahitaji kufaulu mitihani yako ya CPA kwa Mwezi May 2014?
2. Je, umerudia mitihani yako mara nyingi bila ya mafanikio na unaona unapoteza hela yako kwa kurudiarudia mitihani hii?
3. Je, unahitaji kukutana na walimu wenye vipaji maalum vya kufundisha masomo ya bodi ya Uhasibu (NBAA)?
Kama jibu lako kwa maswali haya ni "ndiyo"; basi, "The Kaloleni Centre for CPA Review Classes" ndiyo chaguo lako pekee; "Njoo tuongee unufaike".
"The Kaloleni Centre for CPA Review Classes" ni kituo cha kufundishia kilichopo Arusha mjini mkabala na Mnara wa Mwenge ambacho kimejipanga kufungua kipaji chako kwa kupitia walimu wake wenye uzoefu kabambe katika ufundishaji. Ni walimu wenye uelewa mkubwa wa masomo haya kwani wapo waliosoma CPA (T) na wengine ACCA (UK), hivyo utapewa vitu vya ukweli kukuwezesha wewe kufaulu mitihani yako kiurahisi. Kituo hiki kinatoa masomo kwa wanafunzi wanaojiandaa kufanya mitihani ya Bodi ya Uhasibu (NBAA) kwa Module E na Module F.
MAHALI:
Kituo kipo Arusha mjini maeneo ya Shule ya Msingi Kaloleni, Karibu na mnara wa mwenge Arusha.
GHARAMA
Gharama kwa Mitihani yote kwa kila Module; i.e Module E & Module F ni TZS 400,000/= kwa kila mwanafunzi.
MUDA: (Masomo yanaanza rasmi tarehe 5 Jan. 2014)
WEEKEND: KUANZIA SAA NNE ASUBUHI HADI SAA KUMI NA MBILI JIONI
SIKU ZA WIKI: KUANZIA SAA KUMI NA MOJA JIONI HADI SAA MOJA USIKU
Kwa mawasiliano zaidi, Piga namba zifuatazo:-
Voda (0756-953616); Airtel (0683266799) au Tigo (0714-737726)
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Once again! "The Centre that Unlocks your Potentials" will be open for CPA review classes from 5th January 2014.
1. Je, uko maeneo ya Arusha na unahitaji kufaulu mitihani yako ya CPA kwa Mwezi May 2014?
2. Je, umerudia mitihani yako mara nyingi bila ya mafanikio na unaona unapoteza hela yako kwa kurudiarudia mitihani hii?
3. Je, unahitaji kukutana na walimu wenye vipaji maalum vya kufundisha masomo ya bodi ya Uhasibu (NBAA)?
Kama jibu lako kwa maswali haya ni "ndiyo"; basi, "The Kaloleni Centre for CPA Review Classes" ndiyo chaguo lako pekee; "Njoo tuongee unufaike".
"The Kaloleni Centre for CPA Review Classes" ni kituo cha kufundishia kilichopo Arusha mjini mkabala na Mnara wa Mwenge ambacho kimejipanga kufungua kipaji chako kwa kupitia walimu wake wenye uzoefu kabambe katika ufundishaji. Ni walimu wenye uelewa mkubwa wa masomo haya kwani wapo waliosoma CPA (T) na wengine ACCA (UK), hivyo utapewa vitu vya ukweli kukuwezesha wewe kufaulu mitihani yako kiurahisi. Kituo hiki kinatoa masomo kwa wanafunzi wanaojiandaa kufanya mitihani ya Bodi ya Uhasibu (NBAA) kwa Module E na Module F.
MAHALI:
Kituo kipo Arusha mjini maeneo ya Shule ya Msingi Kaloleni, Karibu na mnara wa mwenge Arusha.
GHARAMA
Gharama kwa Mitihani yote kwa kila Module; i.e Module E & Module F ni TZS 400,000/= kwa kila mwanafunzi.
MUDA: (Masomo yanaanza rasmi tarehe 5 Jan. 2014)
WEEKEND: KUANZIA SAA NNE ASUBUHI HADI SAA KUMI NA MBILI JIONI
SIKU ZA WIKI: KUANZIA SAA KUMI NA MOJA JIONI HADI SAA MOJA USIKU
Kwa mawasiliano zaidi, Piga namba zifuatazo:-
Voda (0756-953616); Airtel (0683266799) au Tigo (0714-737726)
NYOTE MNAKARIBISHWA.