zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sawa mkuu tukutane 2022 God willing utakuja niambia I've been singing a million times RUTO hawezi pitishwa na wakikuyu kuwa Rais wao keep dreamingEti Gideon Moi amekuwa loyal kwa wakikuyu? Kivipi, kama kiongozi wa kidini, mzee wa jamii hiyo, ngariba ua nani? Acha 'guesswork' angalia uhalisia wa mambo, Gideon Moi ni Seneta wa kaunti ya Baringo, William Ruto ni naibu wa rais wa Kenya.
Thats why you don't get it, its not about tribe, which is gettingSawa mkuu tukutane 2022 God willing utakuja niambia I've been singing a million times RUTO hawezi pitishwa na wakikuyu kuwa Rais wao keep dreaming
Wenzako wameshaanza mpigia debe moi we umekalia ruto ruto jua linazama !!
View attachment 704419
Haya let's wait time will tell kama unajifanya hujui kenya politics is about Tribalism then u have the rights to believe kikuyus will accept Ruto as thr President!!!Thats why you don't get it, its not about tribe, which is getting
you so emotional, by the way. This is like placing a bet, and the odds are clearly leaned in Ruto's way. Whoever has voted for Uhuruto has voted for William himself. The only dynamics possible to change that is if the opposition shapes up and starts articulating real issues, instead of dancing for close to two hours each time they hit the podium. That and if Martians voted instead of Kenyans. So place your bet and stop the whining. Nice telly by the way, on top of a very suspicious looking fabric, or is it newspapers?
Wewe ndo unaleta kiherehere kwenye siasa za Kenya. Wakati ni wazi kwamba huzielewi. Tunarudi pale pale kwa swali langu, kama wakikuyu hawatakubali Ruto awe rais wao(rais wa Kenya) kwasababu yeye ni mkalenjin kama unavosema. Mbona unasema watamkubali Gideon Moi wakati hata yeye ni mkalenjin? Hizi ndo athari za kukariri. Ingefaa utaje jina la mkikuyu ambaye atapigiwa kura za urais na wakikuyu wenzake. Lakini utaelewaje siasa za Kenya wakati unatumia vigezo vya kikabila pekee yake kuchapia pumba zako? Shughulika na siasa za kwenu Tz, acha kelele.Haya let's wait time will tell kama unajifanya hujui kenya politics is about Tribalism then u have the rights to believe kikuyus will accept Ruto as thr President!!!
Narudia tena Ruto atakuwa opposition in 2022 not ruling party flag bearer hutaki acha.....
Wewe ndio huelewi sijasema hawampigii kisa mkalenjin nimesema hawampigii sababu ALICHINJA wakikuyu 2008 violence na ipo wazi kabisa kwamba wakikuyu hawajamsamehe ila wamemtumia tu kufight common enemy mr odinga so ndio mwisho wa ruto huuWewe ndo unaleta kiherehere kwenye siasa za Kenya. Wakati ni wazi kwamba huzielewi. Tunarudi pale pale kwa swali langu, kama wakikuyu hawatakubali Ruto awe rais wao(rais wa Kenya) kwasababu yeye ni mkalenjin kama unavosema. Mbona unasema watamkubali Gideon Moi wakati hata yeye ni mkalenjin? Hizi ndo athari za kukariri. Ingefaa utaje jina la mkikuyu ambaye atapigiwa kura za urais na wakikuyu wenzake. Lakini utaelewaje siasa za Kenya wakati unatumia vigezo vya kikabila pekee yake kuchapia pumba zako? Shughulika na siasa za kwenu Tz, acha kelele.