Kalusha Bwalya

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,020
Reaction score
3,309
Mwenye story ya jinsi kalusha bwalya alivyonusurika ajali ya ndege wenzake wote wakafa mje apa mtujuze maana wengine tulikuwa wadogo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mwenye story ya jinsi kalusha bwalya alivyonusurika ajali ya ndege wenzake wote wakafa mje apa mtujuze maana wengine tulikuwa wadogo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hakuwemo kwenye ndege iliyopata ajali, yeye alikuwa akicheza soka la kulipwa ulaya na alikwenda moja kwa moja Senegal, waliopata ajali walikuwa wakitokea Zambia
 
Hakuwemo kwenye ndege iliyopata ajali, yeye alikuwa akicheza soka la kulipwa ulaya na alikwenda moja kwa moja Senegal, waliopata ajali walikuwa wakitokea Zambia
Una Uhakika ?
 
Zambia ya wakati huo ilikuwa na wachezaji wengi wazuri sana. First eleven waliobaki baada ya ajali hiyo ya 1993 ni Bwalya (aliyekuwa ajiunge na timu akitokea Holland) na Charles Musonda (akitokea Belgium ). Lakini walijenga timu upya na 1994 - mwaka mmoja baadaye - wakifika fainali ya kombe la Africa.
 
Taifa Stars tumetulia tu kipindi chote hicho?
 
Ile timu ilitarajiwa kuwa tishio kwenye world cup 1994.

WAZUNGU Wana mbinu za hatari sana
 
Zanzibar iliyo sheheni watu ilikufa goli 8. Kalusha na Mwenzake sikumbuki jina walikua wametoka Ulaya Mojakwamoja wakutane na timu Senegal.
Zambia ya
Effort Chabala, Witson Changwe, Derby Makinda, Moses Chikwalakwala, John Soko,Mumba Mwila, Peter (Bomber)Banda n.k Jamaa walikua na watu.
 
Sema watu wakiisha kufa kwenye peak yao huwa wanasimuliwa sana kwamba wangetisha zaidi. Kama vile 2PAC, BOB MARLEY nk.
 
Kama sikosei Bwalya alitokea Amerika Kusini na siyo Holland (Nisahihishwe)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…