KAM COLLEGE !! ni kweli juu ya hili??

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
Wakuu natumai mko good!
Wakuu hiki chuo cha Afya sikielewi kuhusiana na vigezo vya kujiunga na Diploma kwa passmark za O-level .
Wengi tunajua kuwa 0- level kujiunga diploma may be in clinical oficcer vigezo ni uwe na!
C . ya biology
C . ya chemistry
D. ya physics chini ya hapo ni certificate ila wao nimeongea nao wanadai hata ukipata credit moja na D flat kwenye PCB may be uwe umepata .
C ya biology oders D unajiunga Diploma.
Wakuu Je? hili ni sawa kwa kuwa hiki chuo ni cha Private au ni Usanii tu ?
 
Usanii mtupu, akili zako na za kupewa changanya halafu chagua moja!!!
 
Mkuu hiyo ni sahii kwani private wanachukua hata D's kwenye masomo 3 ya olevel PCB, Ila govt wameweka vigezo vya C kwa sababu nafasi ni chake tu lakin sio kwamba ndito sheria za NACTE pia hata vyuo vikubwa kama Mvumi cha Dodoma pia wanachukua kwa Ds ktk hayo masomo.
 
Yale yale ya st john's university!kusoma kweli we kasome ukimaliza degree nayo private mkopo hawatakupa!
 
hicho chuo ndo chuo gani sidhan hata kama nacte/tcu wanakitambua
 
Hy
naombeni msinaidie kunipa detail juu ya vyuo vya afya vinavyo patikana dar na vie na usajili wa kudumu.
kwa upande wangu nimeangaika sana
nataka kuchukua
clinica officer
 
Naomben mninijuze juu ya vyuo vya afya ambavyo vinapatikana dar na viwe private kwa upande wangu napata shida sana kwan mi nipo mwanza
Nataka kuchukua
Clinical officer


£
 

Mkuu, ebu nifumbue macho namm, vp kama mtu alichukua masomo yasayansi naakapata "c" mbili na "D" saba anaweza kuchukua "PCB" katika shule za private? Maana kuna dogo kapata hivyo ila kamaliza mwaka juzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…