Kama 4R za Samia,Zimeweza Kutanzua Mtanziko Siasa za Bara,Kwanini Zisitumike ZnZ, Kutibu Makovu ya Mapinduzi,Uchaguzi wa 2025,Mshindi Halali Apewe?

Kama 4R za Samia,Zimeweza Kutanzua Mtanziko Siasa za Bara,Kwanini Zisitumike ZnZ, Kutibu Makovu ya Mapinduzi,Uchaguzi wa 2025,Mshindi Halali Apewe?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi,TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jumapili ya Tarehe 12 January 2025, imedondokea siku ile ile ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo (na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambalo teno Utukufu, kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu, Utukufu ni KWAKE YEYE tuu na utukufu ni WAKE YEYE tuu, Mwenyeenzi Mungu mwenyewe, hivyo kuita kitu kingine chochote kitukufu ni kama kufuru!), kuna Wazanzibari wengine, japo wachache, siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwao ni siku ya kumbukumbu chungu na mbaya, kwa kutonesha makovu ya mapinduzi hayo, kwa kuwapoteza wapendwa wao, kutokana na umwagwaji damu wa Mapinduzi hayo na baada ya Mapinduzi.

Japo hakuna ubishi kabisa, kuwa Mapinduzi ya Zanzibar, yameleta neema na kheri Zanzibar, lakini pia ni ukweli mchungu kuwa mapinduzi hayo yalimwaga damu za watu, na pia yalisababisha maumivu makubwa kwa waliopinduliwa ambao wanaishi na makovu ya Mapinduzi hadi leo, hivyo makala ya leo ni kutoa wito, kuzitumia 4R za Rais Samia, kutibu makovu ya Mapinduzi hayo, na keleta siasa za utengemano Zanzibar.

Kule kwenye mtandao maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii nchini Tanzania, Jamii Forums, shamra shamra za kuisubiria siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilianza siku nyingi kabla kwa kushamirishwa na Fake News kuwa Sultan mpinduliwa angerejea Zanzibar kwa ziara rasmi na angehudhuria maadhimisho ya mwaka huu.

Hilo la Sultani kurejea mimi nikalidaka na kuchangia kwa kulitolea mapendekezo yangu kumi kwa SMZ.

Ndipo kaka yangu mmoja, kutoka Zanzibar, naomba kumtaja kwa jina moja tuu Kaka Chalz, ni kaka yangu alinipokea RTD, ile mwaka 2000, akatufundisha kazi ya utangazaji, hivyo tunawaheshimu sana kaka zetu hawa, na hata tunapokosea, hawaachi kutupigia simu kuendelea kutuongoza mpaka leo mpaka kesho, Asante Kaka Chale!.

Basi Kaka Chale akaniuliza una uhakika na chanzo chako cha habari kuwa hii ni habari ya kweli?, nikamjibu kwa vile imetangwa na Jamiiforums, kwa jina maarufu JF, ni chombo cha kuaminika, ingekuwa fake, JF inatumia mfumo wa Jamii Check kubaini fake news na kuzifuta, hivyo itakuwa kweli.

Ndipo nikaipitia ile habari kwa mara ya pili kuisoma source, nikakuta ni mtu kutoka Oman!, nikamtafuta kaka yangu mwingine Zanzibar huyu ni Mzee Salim Said Salim, mwandishi wa siku nyingi, tunamuita jina la Mzee SSS, yeye ana nasaba kidogo na ukoo wa Sultan, Salim akawapandia kwa simu, Oman, familia ya Sultan wakakanusha kuwa hiyo habari ni fake news!. Asante Mzee SSS!.

Ndipo nikawasiliana na Mkuu wa JamiiForums, Maxence Mello, kumweleza hiyo habari ya Sultani kurejea ni fake news. Nikamrudia Kaka Chale, nikamshukuru kwa angalizo lake, ila nikamwambia baadhi ya yale mapendekezo yangu 10 kwa SMZ, mengine bado ni muhimu kwa Zanzibar ya sasa, yafanyiwe kazi!.

Baada ya lile jibu la Familia ya Sultani kule Oman kukanusha ile fake news, Sultani alishinda siku moja tuu, na kesho yake akaitwa kwa Mola wake, akatwaliwa!. Nikamshauri Kaka Chale, SMZ iseme kitu!, haikusema!. Ukimya huo wa hata kupeana pole za msiba, ukanikumbusha bado Zanzibar kuna fukuto za Mapinduzi.

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na hakuna ubishi siasa za Zanzibar, licha ya uwepo wa SUK, bado zinaathiriwa na mzimu wa machozi, jasho na damu, zilizomwagika wakati wa mapinduzi na kuna watu bado wana makovu ya mapinduzi yale ambapo 4R za Rais Samia, zikitumiwa kikamilifu zinaweza kuyatibu!.

Hivyo matokeo ya baadhi ya chaguzi za Zanzibar, ni matokeo yale yale ya ule uchaguzi wa mwaka 1963. Mfano mzuri ni uchaguzi wa mwaka 2015, kuna msemo wa Kiingereza unaosema numba haziongopi!.

Matokeo ya NEC ya uchaguzi wa 2015 kwa Zanzibar, yamethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar wa 2015, kama usinge futwa, Maalim Seif Shariff Hamad wa Chama cha Wananchi CUF ndie angelikuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Zanzibar kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa urais wa JMT, uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimshinda mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA
DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%
EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%
IDADI YA KURA HALALI 417,882

Hii maana yake Zanzibar upinzani unaweza kushinda, sasa kwa vile bado kuna hostilities za machungu ya Mapinduzi, siku upinzania ukishinda Zanzibar, kutaibuka kulipiza kisasi!.

Nilishauri

Zanzibar iitumie R ya Reconciliation, ianzishe truth and reconciliation commission watu waruhusiwe kutoa machungu yao ya mapinduzi, kwa kiingereza ku vent ili kuponya maumivu, (to heal) na machungu ya mapinduzi.
Neno Matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar lisiendelee kutumika yaitwe tuu Mapinduzi ya Zanzibar na vibwagizo Mapinduzi Daima na Tutayalinda kwa gharama yoyote tuachane nayo ili kuponya wapinduliwa.
Falsafa hii ya 4R za Samia itumike hadi Zanzibar mshindi wa kweli wa uchaguzi wa Zanzibar atangazwe mfano mzuri ni

Hivyo nawashauri Rais Samia, na rais Dr. Mwinyi, kubalini kutibu makovu ya Mapinduzi, ili kuzimaliza siasa za hostilities, ikitokea upinzani umeshinda Zanzibar, hakuna haja kufunika kombe mwanaharamu apite, iwe ni kupokezana kwa amani na upendo.

Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Rejea
 
William Lukuvi alinukuliwa akisema
"Hatuwezi kuiachia Zanzibar irudi kwa Waarabu na iwe nchi ya Kiislamu''
Akiyasema haya alikuwa waziri mwandamizi na mtu aliyeko jikoni kunapo pikwa mikakati, na njia nzuri ya ku maintain hii status quo ni kubaki hivi Hivi kama Israel na Hamas.
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi,TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jumapili ya Tarehe 12 January 2025, imedondokea siku ile ile ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo (na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambalo teno Utukufu, kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu, Utukufu ni KWAKE YEYE tuu na utukufu ni WAKE YEYE tuu, Mwenyeenzi Mungu mwenyewe, hivyo kuita kitu kingine chochote kitukufu ni kama kufuru!), kuna Wazanzibari wengine, japo wachache, siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwao ni siku ya kumbukumbu chungu na mbaya, kwa kutonesha makovu ya mapinduzi hayo, kwa kuwapoteza wapendwa wao, kutokana na umwagwaji damu wa Mapinduzi hayo na baada ya Mapinduzi.

Japo hakuna ubishi kabisa, kuwa Mapinduzi ya Zanzibar, yameleta neema na kheri Zanzibar, lakini pia ni ukweli mchungu kuwa mapinduzi hayo yalimwaga damu za watu, na pia yalisababisha maumivu makubwa kwa waliopinduliwa ambao wanaishi na makovu ya Mapinduzi hadi leo, hivyo makala ya leo ni kutoa wito, kuzitumia 4R za Rais Samia, kutibu makovu ya Mapinduzi hayo, na keleta siasa za utengemano Zanzibar.

Kule kwenye mtandao maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii nchini Tanzania, Jamii Forums, shamra shamra za kuisubiria siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilianza siku nyingi kabla kwa kushamirishwa na Fake News kuwa Sultan mpinduliwa angerejea Zanzibar kwa ziara rasmi na angehudhuria maadhimisho ya mwaka huu.

Hilo la Sultani kurejea mimi nikalidaka na kuchangia kwa kulitolea mapendekezo yangu kumi kwa SMZ.

Ndipo kaka yangu mmoja, kutoka Zanzibar, naomba kumtaja kwa jina moja tuu Kaka Chalz, ni kaka yangu alinipokea RTD, ile mwaka 2000, akatufundisha kazi ya utangazaji, hivyo tunawaheshimu sana kaka zetu hawa, na hata tunapokosea, hawaachi kutupigia simu kuendelea kutuongoza mpaka leo mpaka kesho, Asante Kaka Chale!.

Basi Kaka Chale akaniuliza una uhakika na chanzo chako cha habari kuwa hii ni habari ya kweli?, nikamjibu kwa vile imetangwa na Jamiiforums, kwa jina maarufu JF, ni chombo cha kuaminika, ingekuwa fake, JF inatumia mfumo wa Jamii Check kubaini fake news na kuzifuta, hivyo itakuwa kweli.

Ndipo nikaipitia ile habari kwa mara ya pili kuisoma source, nikakuta ni mtu kutoka Oman!, nikamtafuta kaka yangu mwingine Zanzibar huyu ni Mzee Salim Said Salim, mwandishi wa siku nyingi, tunamuita jina la Mzee SSS, yeye ana nasaba kidogo na ukoo wa Sultan, Salim akawapandia kwa simu, Oman, familia ya Sultan wakakanusha kuwa hiyo habari ni fake news!. Asante Mzee SSS!.

Ndipo nikawasiliana na Mkuu wa JamiiForums, Maxence Mello, kumweleza hiyo habari ya Sultani kurejea ni fake news. Nikamrudia Kaka Chale, nikamshukuru kwa angalizo lake, ila nikamwambia baadhi ya yale mapendekezo yangu 10 kwa SMZ, mengine bado ni muhimu kwa Zanzibar ya sasa, yafanyiwe kazi!.

Baada ya lile jibu la Familia ya Sultani kule Oman kukanusha ile fake news, Sultani alishinda siku moja tuu, na kesho yake akaitwa kwa Mola wake, akatwaliwa!. Nikamshauri Kaka Chale, SMZ iseme kitu!, haikusema!. Ukimya huo wa hata kupeana pole za msiba, ukanikumbusha bado Zanzibar kuna fukuto za Mapinduzi.

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na hakuna ubishi siasa za Zanzibar, licha ya uwepo wa SUK, bado zinaathiriwa na mzimu wa machozi, jasho na damu, zilizomwagika wakati wa mapinduzi na kuna watu bado wana makovu ya mapinduzi yale ambapo 4R za Rais Samia, zikitumiwa kikamilifu zinaweza kuyatibu!.

Hivyo matokeo ya baadhi ya chaguzi za Zanzibar, ni matokeo yale yale ya ule uchaguzi wa mwaka 1963. Mfano mzuri ni uchaguzi wa mwaka 2015, kuna msemo wa Kiingereza unaosema numba haziongopi!.

Matokeo ya NEC ya uchaguzi wa 2015 kwa Zanzibar, yamethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar wa 2015, kama usinge futwa, Maalim Seif Shariff Hamad wa Chama cha Wananchi CUF ndie angelikuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Zanzibar kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa urais wa JMT, uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimshinda mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA
DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%
EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%
IDADI YA KURA HALALI 417,882

Hii maana yake Zanzibar upinzani unaweza kushinda, sasa kwa vile bado kuna hostilities za machungu ya Mapinduzi, siku upinzania ukishinda Zanzibar, kutaibuka kulipiza kisasi!.

Nilishauri

Zanzibar iitumie R ya Reconciliation, ianzishe truth and reconciliation commission watu waruhusiwe kutoa machungu yao ya mapinduzi, kwa kiingereza ku vent ili kuponya maumivu, (to heal) na machungu ya mapinduzi.
Neno Matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar lisiendelee kutumika yaitwe tuu Mapinduzi ya Zanzibar na vibwagizo Mapinduzi Daima na Tutayalinda kwa gharama yoyote tuachane nayo ili kuponya wapinduliwa.
Falsafa hii ya 4R za Samia itumike hadi Zanzibar mshindi wa kweli wa uchaguzi wa Zanzibar atangazwe mfano mzuri ni

Hivyo nawashauri Rais Samia, na rais Dr. Mwinyi, kubalini kutibu makovu ya Mapinduzi, ili kuzimaliza siasa za hostilities, ikitokea upinzani umeshinda Zanzibar, hakuna haja kufunika kombe mwanaharamu apite, iwe ni kupokezana kwa amani na upendo.

Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Maalim Seif hajawahi kushindwa uchaguzi Zanzibar, ameshinda mara zote si 2015 tu.

In fact CCM imeanza kubadilisha matokeo ya uchaguzi Zanzibar tangu siku za chama kimoja. Idris Abdul Wakil, aliyegombea urais wa Zanzibar kwa kura za "Ndiyo/Hapana", maana yake aligombea mwenyewe tu, alishindwa uchaguzi wa urais Zanzibar mwaka 1985 enzi ya chama kimoja.

Habari zilifika mpaka Daily News, wakaambiwa wasichapishe matokeo ya kweli, wakapewa matokeo feki wakayachapisha. Kwa aibu, marehemu Sheikh Abdul Wakil hakutaka kugombea tena urais wa Zanzibar mwaka 1990.

Wewe ni muandishi wa habari, waulize waandishi waliokuwa Daily News 1985 watakuambia.

Kuhusu 4Rs za Samia, huju bara zimefanya nini? Mbona maridhiano na CHADEMA yamekufa tayari?
 
Maalim Seif hajawahi kushindwa uchaguzi Zanzibar, ameshinda mara zote si 2015 tu.
ngoja nifuatilie matokeo ya NEC Zanzibar,1995,2020,2005 na 2010,2015 ndio matokeo ya NEC yanaonyesha CCM ilishindwa Zanzibar。
In fact CCM imeanza kubadilisha matokeo ya uchaguzi Zanzibar tangu siku za chama kimoja. Idris Abdul Wakil, aliyegombea urais wa Zanzibar kwa kura za "Ndiyo/Hapana", maana yake aligombea mwenyewe tu, alishindwa uchaguzi wa urais Zanzibar mwaka 1985 enzi ya chama kimoja.
hili sikuwahi kulijua
Habari zilifika mpaka Daily News, wakaambiwa wasichapishe matokeo ya kweli, wakapewa matokeo feki wakayachapisha. Kwa aibu, marehemu Sheikh Abdul Wakil hakutaka kugombea tena urais wa Zanzibar mwaka 1990.
Asante leo ndio nimejua kwanini he was just one term president!。
Wewe ni muandishi wa habari, waulize waandishi waliokuwa Daily News 1985 watakuambia.
Waandishi wa DN wote ni wa kule。。。,, watasema?。
Kuhusu 4Rs za Samia, huku bara zimefanya nini?
Mnyonge myongeni,haki yake mpeni!,Rais Samia kupitia 4R zake, ameliponya sana tuu taifa hili!,kama ni kupewa maua yake,apewe tuu!。
Mbona maridhiano na CHADEMA yamekufa tayari?
Akipita Mbowe uenyekiti Chadema,maridhiano yanafufuka,2025 ni mwendo wa kugawana nusu mkate!, akipita Lissu uenyekiti wa Chadema, CCM watatekeleza hoja HII
P
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi,TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jumapili ya Tarehe 12 January 2025, imedondokea siku ile ile ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo (na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambalo teno Utukufu, kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu, Utukufu ni KWAKE YEYE tuu na utukufu ni WAKE YEYE tuu, Mwenyeenzi Mungu mwenyewe, hivyo kuita kitu kingine chochote kitukufu ni kama kufuru!), kuna Wazanzibari wengine, japo wachache, siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwao ni siku ya kumbukumbu chungu na mbaya, kwa kutonesha makovu ya mapinduzi hayo, kwa kuwapoteza wapendwa wao, kutokana na umwagwaji damu wa Mapinduzi hayo na baada ya Mapinduzi.

Japo hakuna ubishi kabisa, kuwa Mapinduzi ya Zanzibar, yameleta neema na kheri Zanzibar, lakini pia ni ukweli mchungu kuwa mapinduzi hayo yalimwaga damu za watu, na pia yalisababisha maumivu makubwa kwa waliopinduliwa ambao wanaishi na makovu ya Mapinduzi hadi leo, hivyo makala ya leo ni kutoa wito, kuzitumia 4R za Rais Samia, kutibu makovu ya Mapinduzi hayo, na keleta siasa za utengemano Zanzibar.

Kule kwenye mtandao maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii nchini Tanzania, Jamii Forums, shamra shamra za kuisubiria siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilianza siku nyingi kabla kwa kushamirishwa na Fake News kuwa Sultan mpinduliwa angerejea Zanzibar kwa ziara rasmi na angehudhuria maadhimisho ya mwaka huu.

Hilo la Sultani kurejea mimi nikalidaka na kuchangia kwa kulitolea mapendekezo yangu kumi kwa SMZ.

Ndipo kaka yangu mmoja, kutoka Zanzibar, naomba kumtaja kwa jina moja tuu Kaka Chalz, ni kaka yangu alinipokea RTD, ile mwaka 2000, akatufundisha kazi ya utangazaji, hivyo tunawaheshimu sana kaka zetu hawa, na hata tunapokosea, hawaachi kutupigia simu kuendelea kutuongoza mpaka leo mpaka kesho, Asante Kaka Chale!.

Basi Kaka Chale akaniuliza una uhakika na chanzo chako cha habari kuwa hii ni habari ya kweli?, nikamjibu kwa vile imetangwa na Jamiiforums, kwa jina maarufu JF, ni chombo cha kuaminika, ingekuwa fake, JF inatumia mfumo wa Jamii Check kubaini fake news na kuzifuta, hivyo itakuwa kweli.

Ndipo nikaipitia ile habari kwa mara ya pili kuisoma source, nikakuta ni mtu kutoka Oman!, nikamtafuta kaka yangu mwingine Zanzibar huyu ni Mzee Salim Said Salim, mwandishi wa siku nyingi, tunamuita jina la Mzee SSS, yeye ana nasaba kidogo na ukoo wa Sultan, Salim akawapandia kwa simu, Oman, familia ya Sultan wakakanusha kuwa hiyo habari ni fake news!. Asante Mzee SSS!.

Ndipo nikawasiliana na Mkuu wa JamiiForums, Maxence Mello, kumweleza hiyo habari ya Sultani kurejea ni fake news. Nikamrudia Kaka Chale, nikamshukuru kwa angalizo lake, ila nikamwambia baadhi ya yale mapendekezo yangu 10 kwa SMZ, mengine bado ni muhimu kwa Zanzibar ya sasa, yafanyiwe kazi!.

Baada ya lile jibu la Familia ya Sultani kule Oman kukanusha ile fake news, Sultani alishinda siku moja tuu, na kesho yake akaitwa kwa Mola wake, akatwaliwa!. Nikamshauri Kaka Chale, SMZ iseme kitu!, haikusema!. Ukimya huo wa hata kupeana pole za msiba, ukanikumbusha bado Zanzibar kuna fukuto za Mapinduzi.

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na hakuna ubishi siasa za Zanzibar, licha ya uwepo wa SUK, bado zinaathiriwa na mzimu wa machozi, jasho na damu, zilizomwagika wakati wa mapinduzi na kuna watu bado wana makovu ya mapinduzi yale ambapo 4R za Rais Samia, zikitumiwa kikamilifu zinaweza kuyatibu!.

Hivyo matokeo ya baadhi ya chaguzi za Zanzibar, ni matokeo yale yale ya ule uchaguzi wa mwaka 1963. Mfano mzuri ni uchaguzi wa mwaka 2015, kuna msemo wa Kiingereza unaosema numba haziongopi!.

Matokeo ya NEC ya uchaguzi wa 2015 kwa Zanzibar, yamethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar wa 2015, kama usinge futwa, Maalim Seif Shariff Hamad wa Chama cha Wananchi CUF ndie angelikuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Zanzibar kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa urais wa JMT, uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimshinda mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA
DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%
EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%
IDADI YA KURA HALALI 417,882

Hii maana yake Zanzibar upinzani unaweza kushinda, sasa kwa vile bado kuna hostilities za machungu ya Mapinduzi, siku upinzania ukishinda Zanzibar, kutaibuka kulipiza kisasi!.

Nilishauri

Zanzibar iitumie R ya Reconciliation, ianzishe truth and reconciliation commission watu waruhusiwe kutoa machungu yao ya mapinduzi, kwa kiingereza ku vent ili kuponya maumivu, (to heal) na machungu ya mapinduzi.
Neno Matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar lisiendelee kutumika yaitwe tuu Mapinduzi ya Zanzibar na vibwagizo Mapinduzi Daima na Tutayalinda kwa gharama yoyote tuachane nayo ili kuponya wapinduliwa.
Falsafa hii ya 4R za Samia itumike hadi Zanzibar mshindi wa kweli wa uchaguzi wa Zanzibar atangazwe mfano mzuri ni

Hivyo nawashauri Rais Samia, na rais Dr. Mwinyi, kubalini kutibu makovu ya Mapinduzi, ili kuzimaliza siasa za hostilities, ikitokea upinzani umeshinda Zanzibar, hakuna haja kufunika kombe mwanaharamu apite, iwe ni kupokezana kwa amani na upendo.

Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Tatizo liliopo zanzibar kuwa CCM zanzibar wanadhani zanzibar niyawo peke yawo.
Amani karume aliwahi kusema mapinduzi ni yawatu wote.
Walo pinduwa hawapo tena.
Baada ya mapinduzi watu waliyakubali. Watu wamegawanyika katika fikra wengine ACt CHADEMA CCM nk
Kwa hivyo wote wana haki ya kuongoza nchi

Ulaji na kuchumia tumbo ndio unotumika katika kujifanya wanamapinduzi ili kubaki madarakani .
China imefanya mapinduzi lakini inaitwa Jamhuri ya watu wa CHINa.

Zanzibar ilikuwa ikitwa Jamhuri ya watu wa Zanzibar.
Baada ya kundwa CCM nadhani na Zanzibar wakabadili kuita SMZ na hapo mambo ya karudi upya
1985 alipokuja Idrissa Abdul wakil.
Sasa ukitaka uwe ndani ya serikali basi wewe usifu mapinduzi tuu.
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi,TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jumapili ya Tarehe 12 January 2025, imedondokea siku ile ile ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo (na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambalo teno Utukufu, kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu, Utukufu ni KWAKE YEYE tuu na utukufu ni WAKE YEYE tuu, Mwenyeenzi Mungu mwenyewe, hivyo kuita kitu kingine chochote kitukufu ni kama kufuru!), kuna Wazanzibari wengine, japo wachache, siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwao ni siku ya kumbukumbu chungu na mbaya, kwa kutonesha makovu ya mapinduzi hayo, kwa kuwapoteza wapendwa wao, kutokana na umwagwaji damu wa Mapinduzi hayo na baada ya Mapinduzi.

Japo hakuna ubishi kabisa, kuwa Mapinduzi ya Zanzibar, yameleta neema na kheri Zanzibar, lakini pia ni ukweli mchungu kuwa mapinduzi hayo yalimwaga damu za watu, na pia yalisababisha maumivu makubwa kwa waliopinduliwa ambao wanaishi na makovu ya Mapinduzi hadi leo, hivyo makala ya leo ni kutoa wito, kuzitumia 4R za Rais Samia, kutibu makovu ya Mapinduzi hayo, na keleta siasa za utengemano Zanzibar.

Kule kwenye mtandao maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii nchini Tanzania, Jamii Forums, shamra shamra za kuisubiria siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilianza siku nyingi kabla kwa kushamirishwa na Fake News kuwa Sultan mpinduliwa angerejea Zanzibar kwa ziara rasmi na angehudhuria maadhimisho ya mwaka huu.

Hilo la Sultani kurejea mimi nikalidaka na kuchangia kwa kulitolea mapendekezo yangu kumi kwa SMZ.

Ndipo kaka yangu mmoja, kutoka Zanzibar, naomba kumtaja kwa jina moja tuu Kaka Chalz, ni kaka yangu alinipokea RTD, ile mwaka 2000, akatufundisha kazi ya utangazaji, hivyo tunawaheshimu sana kaka zetu hawa, na hata tunapokosea, hawaachi kutupigia simu kuendelea kutuongoza mpaka leo mpaka kesho, Asante Kaka Chale!.

Basi Kaka Chale akaniuliza una uhakika na chanzo chako cha habari kuwa hii ni habari ya kweli?, nikamjibu kwa vile imetangwa na Jamiiforums, kwa jina maarufu JF, ni chombo cha kuaminika, ingekuwa fake, JF inatumia mfumo wa Jamii Check kubaini fake news na kuzifuta, hivyo itakuwa kweli.

Ndipo nikaipitia ile habari kwa mara ya pili kuisoma source, nikakuta ni mtu kutoka Oman!, nikamtafuta kaka yangu mwingine Zanzibar huyu ni Mzee Salim Said Salim, mwandishi wa siku nyingi, tunamuita jina la Mzee SSS, yeye ana nasaba kidogo na ukoo wa Sultan, Salim akawapandia kwa simu, Oman, familia ya Sultan wakakanusha kuwa hiyo habari ni fake news!. Asante Mzee SSS!.

Ndipo nikawasiliana na Mkuu wa JamiiForums, Maxence Mello, kumweleza hiyo habari ya Sultani kurejea ni fake news. Nikamrudia Kaka Chale, nikamshukuru kwa angalizo lake, ila nikamwambia baadhi ya yale mapendekezo yangu 10 kwa SMZ, mengine bado ni muhimu kwa Zanzibar ya sasa, yafanyiwe kazi!.

Baada ya lile jibu la Familia ya Sultani kule Oman kukanusha ile fake news, Sultani alishinda siku moja tuu, na kesho yake akaitwa kwa Mola wake, akatwaliwa!. Nikamshauri Kaka Chale, SMZ iseme kitu!, haikusema!. Ukimya huo wa hata kupeana pole za msiba, ukanikumbusha bado Zanzibar kuna fukuto za Mapinduzi.

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na hakuna ubishi siasa za Zanzibar, licha ya uwepo wa SUK, bado zinaathiriwa na mzimu wa machozi, jasho na damu, zilizomwagika wakati wa mapinduzi na kuna watu bado wana makovu ya mapinduzi yale ambapo 4R za Rais Samia, zikitumiwa kikamilifu zinaweza kuyatibu!.

Hivyo matokeo ya baadhi ya chaguzi za Zanzibar, ni matokeo yale yale ya ule uchaguzi wa mwaka 1963. Mfano mzuri ni uchaguzi wa mwaka 2015, kuna msemo wa Kiingereza unaosema numba haziongopi!.

Matokeo ya NEC ya uchaguzi wa 2015 kwa Zanzibar, yamethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar wa 2015, kama usinge futwa, Maalim Seif Shariff Hamad wa Chama cha Wananchi CUF ndie angelikuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Zanzibar kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa urais wa JMT, uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimshinda mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA
DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%
EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%
IDADI YA KURA HALALI 417,882

Hii maana yake Zanzibar upinzani unaweza kushinda, sasa kwa vile bado kuna hostilities za machungu ya Mapinduzi, siku upinzania ukishinda Zanzibar, kutaibuka kulipiza kisasi!.

Nilishauri

Zanzibar iitumie R ya Reconciliation, ianzishe truth and reconciliation commission watu waruhusiwe kutoa machungu yao ya mapinduzi, kwa kiingereza ku vent ili kuponya maumivu, (to heal) na machungu ya mapinduzi.
Neno Matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar lisiendelee kutumika yaitwe tuu Mapinduzi ya Zanzibar na vibwagizo Mapinduzi Daima na Tutayalinda kwa gharama yoyote tuachane nayo ili kuponya wapinduliwa.
Falsafa hii ya 4R za Samia itumike hadi Zanzibar mshindi wa kweli wa uchaguzi wa Zanzibar atangazwe mfano mzuri ni

Hivyo nawashauri Rais Samia, na rais Dr. Mwinyi, kubalini kutibu makovu ya Mapinduzi, ili kuzimaliza siasa za hostilities, ikitokea upinzani umeshinda Zanzibar, hakuna haja kufunika kombe mwanaharamu apite, iwe ni kupokezana kwa amani na upendo.

Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Hivi kwa umri wako bado unatumia cha Arusha? Bara 4R zimeleta matokeo gani, ushenzi wa samia na mkwewe kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa?
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi,TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jumapili ya Tarehe 12 January 2025, imedondokea siku ile ile ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo (na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambalo teno Utukufu, kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu, Utukufu ni KWAKE YEYE tuu na utukufu ni WAKE YEYE tuu, Mwenyeenzi Mungu mwenyewe, hivyo kuita kitu kingine chochote kitukufu ni kama kufuru!), kuna Wazanzibari wengine, japo wachache, siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwao ni siku ya kumbukumbu chungu na mbaya, kwa kutonesha makovu ya mapinduzi hayo, kwa kuwapoteza wapendwa wao, kutokana na umwagwaji damu wa Mapinduzi hayo na baada ya Mapinduzi.

Japo hakuna ubishi kabisa, kuwa Mapinduzi ya Zanzibar, yameleta neema na kheri Zanzibar, lakini pia ni ukweli mchungu kuwa mapinduzi hayo yalimwaga damu za watu, na pia yalisababisha maumivu makubwa kwa waliopinduliwa ambao wanaishi na makovu ya Mapinduzi hadi leo, hivyo makala ya leo ni kutoa wito, kuzitumia 4R za Rais Samia, kutibu makovu ya Mapinduzi hayo, na keleta siasa za utengemano Zanzibar.

Kule kwenye mtandao maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii nchini Tanzania, Jamii Forums, shamra shamra za kuisubiria siku hii ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilianza siku nyingi kabla kwa kushamirishwa na Fake News kuwa Sultan mpinduliwa angerejea Zanzibar kwa ziara rasmi na angehudhuria maadhimisho ya mwaka huu.

Hilo la Sultani kurejea mimi nikalidaka na kuchangia kwa kulitolea mapendekezo yangu kumi kwa SMZ.

Ndipo kaka yangu mmoja, kutoka Zanzibar, naomba kumtaja kwa jina moja tuu Kaka Chalz, ni kaka yangu alinipokea RTD, ile mwaka 2000, akatufundisha kazi ya utangazaji, hivyo tunawaheshimu sana kaka zetu hawa, na hata tunapokosea, hawaachi kutupigia simu kuendelea kutuongoza mpaka leo mpaka kesho, Asante Kaka Chale!.

Basi Kaka Chale akaniuliza una uhakika na chanzo chako cha habari kuwa hii ni habari ya kweli?, nikamjibu kwa vile imetangwa na Jamiiforums, kwa jina maarufu JF, ni chombo cha kuaminika, ingekuwa fake, JF inatumia mfumo wa Jamii Check kubaini fake news na kuzifuta, hivyo itakuwa kweli.

Ndipo nikaipitia ile habari kwa mara ya pili kuisoma source, nikakuta ni mtu kutoka Oman!, nikamtafuta kaka yangu mwingine Zanzibar huyu ni Mzee Salim Said Salim, mwandishi wa siku nyingi, tunamuita jina la Mzee SSS, yeye ana nasaba kidogo na ukoo wa Sultan, Salim akawapandia kwa simu, Oman, familia ya Sultan wakakanusha kuwa hiyo habari ni fake news!. Asante Mzee SSS!.

Ndipo nikawasiliana na Mkuu wa JamiiForums, Maxence Mello, kumweleza hiyo habari ya Sultani kurejea ni fake news. Nikamrudia Kaka Chale, nikamshukuru kwa angalizo lake, ila nikamwambia baadhi ya yale mapendekezo yangu 10 kwa SMZ, mengine bado ni muhimu kwa Zanzibar ya sasa, yafanyiwe kazi!.

Baada ya lile jibu la Familia ya Sultani kule Oman kukanusha ile fake news, Sultani alishinda siku moja tuu, na kesho yake akaitwa kwa Mola wake, akatwaliwa!. Nikamshauri Kaka Chale, SMZ iseme kitu!, haikusema!. Ukimya huo wa hata kupeana pole za msiba, ukanikumbusha bado Zanzibar kuna fukuto za Mapinduzi.

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na hakuna ubishi siasa za Zanzibar, licha ya uwepo wa SUK, bado zinaathiriwa na mzimu wa machozi, jasho na damu, zilizomwagika wakati wa mapinduzi na kuna watu bado wana makovu ya mapinduzi yale ambapo 4R za Rais Samia, zikitumiwa kikamilifu zinaweza kuyatibu!.

Hivyo matokeo ya baadhi ya chaguzi za Zanzibar, ni matokeo yale yale ya ule uchaguzi wa mwaka 1963. Mfano mzuri ni uchaguzi wa mwaka 2015, kuna msemo wa Kiingereza unaosema numba haziongopi!.

Matokeo ya NEC ya uchaguzi wa 2015 kwa Zanzibar, yamethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar wa 2015, kama usinge futwa, Maalim Seif Shariff Hamad wa Chama cha Wananchi CUF ndie angelikuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Zanzibar kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa urais wa JMT, uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimshinda mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA
DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%
EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%
IDADI YA KURA HALALI 417,882

Hii maana yake Zanzibar upinzani unaweza kushinda, sasa kwa vile bado kuna hostilities za machungu ya Mapinduzi, siku upinzania ukishinda Zanzibar, kutaibuka kulipiza kisasi!.

Nilishauri

Zanzibar iitumie R ya Reconciliation, ianzishe truth and reconciliation commission watu waruhusiwe kutoa machungu yao ya mapinduzi, kwa kiingereza ku vent ili kuponya maumivu, (to heal) na machungu ya mapinduzi.
Neno Matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar lisiendelee kutumika yaitwe tuu Mapinduzi ya Zanzibar na vibwagizo Mapinduzi Daima na Tutayalinda kwa gharama yoyote tuachane nayo ili kuponya wapinduliwa.
Falsafa hii ya 4R za Samia itumike hadi Zanzibar mshindi wa kweli wa uchaguzi wa Zanzibar atangazwe mfano mzuri ni

Hivyo nawashauri Rais Samia, na rais Dr. Mwinyi, kubalini kutibu makovu ya Mapinduzi, ili kuzimaliza siasa za hostilities, ikitokea upinzani umeshinda Zanzibar, hakuna haja kufunika kombe mwanaharamu apite, iwe ni kupokezana kwa amani na upendo.

Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali

4R zimefeli kwa aibu kubwa sana
 
4R ni moja kati ya utapeli wa kisiasa zama hizi, mimi ni miongoni mwa walioukataa huu utapeli tangu mwanzo.

Nashangaa hata yalioyoitwa maridhiano yalifanywa na Mbowe na Samia faragha.

Huwezi kusema kuna maridhiano wakati watu kibao walionewa na utawala ule dhalimu na ushahidi upo ila bado hakuna walichosaidiwa kutokana na athari za madhila ya utawala ule.

Kwanini tusingeunda Truth and Justice Reconcilliation Commission kama ile iliyoundwa Kenya 2008.

Tume ile ndio ilikuwa nguzo kuu ya kupatikana katiba mpya 2010, najiuliza watu hawajifunzi tu kupitia utawala maana mwanzoni mlidhani anadeal na upinzani tu ila hadi alipowafikia na wanaccm wenzie ndio mkajua anahitaji kufungwa kamba, atakuja tena kiongozi mbovu wa jinsi ile anakuta tena katiba hii hii ndio labda mtajifunza.
 
Mi binafsi nadhani Rais Samia alikuwa na nia nzuri tu na hizo 4R zake, lakini CCM hawawezi kukubali kwasababu zile zile za siku zote.

Wanafahamu wakikubali utekelezaji wake, maana yake wamekubali kutoka madarakani.

Hivyo sidhani kama hilo litakubalika kwao CCM.
 
"kuongelea Azimio la Arusha inataka moyo" - JK Nyerere 1995.

Kuongelea pia ZNZ na Muungano inataka Moyo.

Kuongelea Uchaguzi wa Znz inabidi uwe na akili ya kiuwendawazimu.
 
Back
Top Bottom