najua wabunge watagoma na inawezekana hata badala ya ukawa kikaanzishwa kikundi kingine cha kupigania posho(sijui watakiitaje), ila gap la wenye nazo na wasiokua nazo limekuwa kubwa mkuuUnderdog, utakua unaongelea wabunge wa nchi nyingine lakini si Tanzania ninayoifahamu mimi.
mbona umechangia kama vile mtoto wa mbunge au ndo vile tena mkuu wangu
najua wabunge watagoma na inawezekana hata badala ya ukawa kikaanzishwa kikundi kingine cha kupigania posho(sijui watakiitaje), ila gap la wenye nazo na wasiokua nazo limekuwa kubwa mkuu
Kama 7500 inamtosha mwanafunzi wa chuo kwa matumizi ya siku moja, kwa nini wabunge nao wasijengewe hostel wakae humo halafu wawe wanalipa 500 kwa siku kama wanafunzi wa vyuo, halafu badala wawe wanapewa zile laki mbili kwa kikao kimoja basi wapewe 7500 kwa siku huku wakisubiria mishahara yao. Naombeni maoni yenu wadau
naungana na wanafunzi. iongezwe japo 15 au 20 elfu kwa siku. kwani hawa wabunge wanafanya nini la ziada dodoma.
Ndg yangu suma mziwanda kageye mimi nilimaliza chuu kitambo sana. nionavyo mimi haitoshi. mambo ya madeni badae, deni haliui na wala usiliogope. tz deni la taifa ni karibia trillioni 30, wote tulioanza vyuo 1994 tunadaiwa., binafsi sijaona anayenidai walaa anayeniulizia. mbona kama watu binafsi tunq mikopo kwenye mabenki in terms of millions hatujafa na tunalipa taratibu?
7500/= haitoshi hata kidogo kwa maisha ya sasa. kwa nini per diem ya mtu anayesafiri kikazi mfano toka da mbeyaa kuja da isiwe 7500/=? au wabunge dodoma wasipewe hiyohiyo nawenyewe wakalale hostel? ndg yangu wake up.