Underdog
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 343
- 444
Kama 7500 inamtosha mwanafunzi wa chuo kwa matumizi ya siku moja, kwa nini wabunge nao wasijengewe hostel wakae humo halafu wawe wanalipa 500 kwa siku kama wanafunzi wa vyuo, halafu badala wawe wanapewa zile laki mbili kwa kikao kimoja basi wapewe 7500 kwa siku huku wakisubiria mishahara yao. Naombeni maoni yenu wadau