Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kati ya makosa anayoshitakiwa nayo Mbowe mojawapo ni kufadhili ugaidi. Japokuwa anashitakiwa kwa makosa mengine lakini hili ndio kosa pekee linalomkabili yeye peke yake.
Yale mengine ya kupanga njama za kufanya ugaidi ameundanishwa na watuhumiwa wengine.
Kwa mujibu wa kifungu cha 13 cha POA akikutwa na hatia anaweza kufungwa miaka 15-20.
My take: kama chama tuna wakati mgumu sana. Tujifunze kuwa na succession plans.
Yale mengine ya kupanga njama za kufanya ugaidi ameundanishwa na watuhumiwa wengine.
Kwa mujibu wa kifungu cha 13 cha POA akikutwa na hatia anaweza kufungwa miaka 15-20.
My take: kama chama tuna wakati mgumu sana. Tujifunze kuwa na succession plans.