Kama akikutwa na hatia chairman Mbowe kufungwa miaka 15-20

Si nyie muliojipa mamlaka,sasa unaulizaje hilo,wakati huu.
niamin mm mkuu nakuhakikishia...hamuwezi kufanya chochote, acha kuumiza kichwa na siasa za upinzani mkuu utapotea utaanza watoto, mke/mume nna ndugu zako
 
niamin mm mkuu nakuhakikishia...hamuwezi kufanya chochote, acha kuumiza kichwa na siasa za upinzani mkuu utapotea utaanza watoto, mke/mume nna ndugu zako
Nyie karirini mnataka kusema cc tuna dola imara kuliko ile ya hosni mubaraka don't underestimate the oppressed mass.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…