Haya ndio madhara ya bunge la chama kimoja.
Katika bunge hili la chama kimoja, wabunge wamekuwa wavivu, yaani wame-relax kias kwamba hawajibidiishi kushughulika na mambo ya jimboni + nchi, hivyo wamekuwa bize kufanya ngono na wake za watu au waume za watu.
Wabunge hawa wangekuwa sirias endapo kungekuwepo wapinzani bungeni kwa ajili ya kukosoana. Tunajua fika, wapinzani walikuwa wanajibidiisha kufuatilia mambo mfano, kusoma nyaraka nyingi, hivyo kuleta ushindani bungeni. Wabunge walikuwa hawapati au wanapata muda kidogo wa kustarehe. Lakini kwa sasa wabunge wame-relax, hivyo kujiingiza kwenye vitendo vya aibu.