Kama aliyesoma diploma ana G.P.A chini ya 3.0 anafanyaje kuingia degree?

Kama aliyesoma diploma ana G.P.A chini ya 3.0 anafanyaje kuingia degree?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari wanaJF.

Nilikuwa napitia TCU admission guiding book ya 2023/24 inaonesha ili uingie degree kutokea diploma ni lazima uwe na GPA ya 3.0, ila sijaona alternative kwa aliyepata G.P.A chini ya hapo? Kama mtu ana G.P.A ya 2.7 anafanyaje kuingia degree?

Kwa mfano mtu mwenye G.P.A chini ya 2.7 degree ili ajiunge Masters anaenda kusoma Postgraduate diploma kwanza, the Anajiunga na Masters, Kwa upande wa diploma kwenda degree sijaona mbadala. Naomba mwenye kujua anifahamishe.
 
Habari wanaJF.

Nilikuwa napitia TCU admission guiding book ya 2023/24 inaonesha ili uingie degree kutokea diploma ni lazima uwe na GPA ya 3.0, ila sijaona alternative kwa aliyepata G.P.A chini ya hapo? Kama mtu ana G.P.A ya 2.7 anafanyaje kuingia degree?

Kwa mfano mtu mwenye G.P.A chini ya 2.7 degree ili ajiunge Masters anaenda kusoma Postgraduate diploma kwanza, the Anajiunga na Masters, Kwa upande wa diploma kwenda degree sijaona mbadala. Naomba mwenye kujua anifahamishe.
Ukiona umeshindwa kufikisha kiwango hiko cha GPA basi uwezo wako ni mdogo hivyo huna sifa ya kudahiliwa ngazi ya Shahada.

Hakuna njia ya mkato. Kinachotakiwa jikite kwenye masomo yako ili upate alama hizo
 
Habari wanaJF.

Nilikuwa napitia TCU admission guiding book ya 2023/24 inaonesha ili uingie degree kutokea diploma ni lazima uwe na GPA ya 3.0, ila sijaona alternative kwa aliyepata G.P.A chini ya hapo? Kama mtu ana G.P.A ya 2.7 anafanyaje kuingia degree?

Kwa mfano mtu mwenye G.P.A chini ya 2.7 degree ili ajiunge Masters anaenda kusoma Postgraduate diploma kwanza, the Anajiunga na Masters, Kwa upande wa diploma kwenda degree sijaona mbadala. Naomba mwenye kujua anifahamishe.
Hakuna mbadala, uko below marks
 
Sasa pamoja na kushusha kutoka 3.5 to 3.0 bado watu wanataka na -2.9 🤣🤣
Wadau sio poa sijui wanaendaga kucheza au.....!???
Japo kwa degree hiyo 3 ni mziki kwa huku yudomu cive 😂😂😂😂

Ngoja tuwambie wadau wa huku nao waandamane ishushwe
 
Habari wanaJF.

Nilikuwa napitia TCU admission guiding book ya 2023/24 inaonesha ili uingie degree kutokea diploma ni lazima uwe na GPA ya 3.0, ila sijaona alternative kwa aliyepata G.P.A chini ya hapo? Kama mtu ana G.P.A ya 2.7 anafanyaje kuingia degree?

Kwa mfano mtu mwenye G.P.A chini ya 2.7 degree ili ajiunge Masters anaenda kusoma Postgraduate diploma kwanza, the Anajiunga na Masters, Kwa upande wa diploma kwenda degree sijaona mbadala. Naomba mwenye kujua anifahamishe.
nenda open university kuna kozi nazan unasoma ukifaulu unakua na vigezo vya kwenda degree
 
Kwani Open wanaenda kinyume na TCU hiyo ni minimum requirement kwa vyuo vyote. Hata ukienda kusoma nje ya nchi lazima uwe na ile minimum requirement iliyowekwa na TCU.
open university imeruhusiwa kutoa kozi mbadala ya foundation kwa watu waliofeli diploma, maana kila sehem ukifeli kuna mbadala mfano ukifeli form four au six kuna kurisit , ukifeli undegraduate degree kuna postgraduate diploma unasoma ili uende master je ukifeli diploma ndio urudie diploma nzima jibu ni hapana open wameruhusiwa kutoa foundation course
 
open university imeruhusiwa kutoa kozi mbadala ya foundation kwa watu waliofeli diploma, maana kila sehem ukifeli kuna mbadala mfano ukifeli form four au six kuna kurisit , ukifeli undegraduate degree kuna postgraduate diploma unasoma ili uende master je ukifeli diploma ndio urudie diploma nzima jibu ni hapana open wameruhusiwa kutoa foundation course
Hiyo na kubaliana nawe nilikuwa na sahihisha wanaosema OUT inapokea chini ya GPA ya 3 kwenda moja kwa moja degree bila kusema kwamba lazima apitie kwenye foundation coarse.
 
Back
Top Bottom