Kama aliyesoma diploma ana G.P.A chini ya 3.0 anafanyaje kuingia degree?

Kama aliyesoma diploma ana G.P.A chini ya 3.0 anafanyaje kuingia degree?

Mbona kama swali la kijinga sana Aendee chuo anachotaka kujiunga wampe joining instruction ILA KASOME USISUBILIE UAJIRIWE KASOME UPATE MAARIFA KWA SABABU MEANING OF WORD EDUCATION NI SKILLS,KNOWLEDGE AND ATTITUDE UKIENDA CHUONI HUKO UTOKE NA VITU HIVYO VITATU
 
Aende open akapige foundation kabisa Kisha anajiunga chuo chochte
 
Habari wanaJF.

Nilikuwa napitia TCU admission guiding book ya 2023/24 inaonesha ili uingie degree kutokea diploma ni lazima uwe na GPA ya 3.0, ila sijaona alternative kwa aliyepata G.P.A chini ya hapo? Kama mtu ana G.P.A ya 2.7 anafanyaje kuingia degree?

Kwa mfano mtu mwenye G.P.A chini ya 2.7 degree ili ajiunge Masters anaenda kusoma Postgraduate diploma kwanza, the Anajiunga na Masters, Kwa upande wa diploma kwenda degree sijaona mbadala. Naomba mwenye kujua anifahamishe.
Kama GPA yako inapumulia mashine nenda OUT. Kule utapiga foundation kwa mwaka mmoja baada ya hapo utadahiliwa kwenye kozi unayotaka hapo hapo OUT!
 
Aende open akapige foundation kabisa Kisha anajiunga chuo chochte
Hapana; foundation haikupi uhalali wa kwenda chuo chochote bali ni hapo hapo OUT. Vyuo vikuu zamani vilikuwaga na mature age matriculation exams sijui siku hizi haipo?
 
Hapana; foundation haikupi uhalali wa kwenda chuo chochote bali ni hapo hapo OUT. Vyuo vikuu zamani vilikuwaga na mature age matriculation exams sijui siku hizi haipo?
Hapana unakwenda chuo chochote huko vyuo vingine hakuna ndo wamepewa OUT tu mkuu fatilia
 
Back
Top Bottom