Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
sivyo dada, ni tendo la kiimani zaidi,kama mnavyofanya nyie kuipiga nguzo mawe mkiamini mnampiga shetani, pole kwa kuzika.Sadaka ya damu ya mtu si ya kichawi na kishetani hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sivyo dada, ni tendo la kiimani zaidi,kama mnavyofanya nyie kuipiga nguzo mawe mkiamini mnampiga shetani, pole kwa kuzika.Sadaka ya damu ya mtu si ya kichawi na kishetani hiyo?
Hapa ni mambo ya rohoni wewe mtu wa mwili huwezi kuelewa.Mbona nyinyi mnaenda kubusu jiwe jeusi mkiwa hamjavaa chupi na kumpiga shetani mawe , shetani anapigwa na mawe?Sadaka ya damu ya mtu si ya kichawi na kishetani hiyo?
Hapa ni mambo ya rohoni wewe mtu wa mwili huwezi kuelewa.Mbona nyinyi mnaenda kubusu jiwe jeusi mkiwa hamjavaa chupi na kumpiga shetani mawe , shetani anapigwa na mawe?
sivyo dada, ni tendo la kiimani zaidi,kama mnavyofanya nyie kuipiga nguzo mawe mkiamini mnampiga shetani, pole kwa kuzika.
Tupishe au umetumwa?Hahahaha.
Mkibambwa pazuri mnaanza ngonjera.
Huyo Mungu mwenye ubaguzi mie simkubali.
Si mnakula nyama na damu ya Yesu, hiyo kama si cannibalism ni nini?
DADA YANGU HAYA MAMBO NI NJE YA UWEZO WAKO PENGINE,SI TUSI BALI NJE YA UWEZO! NOTE NIJAMBO LA KIIMANI ZAIDI
NI IMANI DADA.
Si mnakula nyama na damu ya Yesu, hiyo kama si cannibalism ni nini?
DADA YANGU HAYA MAMBO NI NJE YA UWEZO WAKO PENGINE,SI TUSI BALI NJE YA UWEZO! NOTE NIJAMBO LA KIIMANI ZAIDI
NI IMANI DADA.
Jamani amri kumi hizi hapaSabato haifuati time zones bali mahali ulipo na ni jua kuzama Hadi kuzama siku ya Saba pia amri ya sabato inamlenga mtu binafsi siyo makundi ya watu yenyewe inasema ikumbuke na siyo muikumbuke au ikumbukeni
100% thanksMkulu hapo ni bibilia na uelewa wetu, dini au dhehebu ukitaka nitakuambia ila ningekuambia kule kwenye jukwaa la dini hapa ni intelligence and facts sio ligi. Maana thread hii sio mahubiri au kubadilishana dini. Hapa ni biblical facts vs our current understanding.
Jibu thread tushirikishe mtazamo wako juu ya mada toa changamoto.
Dhambi ni Uasi wa sheria za Mungu.Ukishakuwa mtoto hutendi dhambi bali unafanya makosa, pia ukiweza kufuata amri hizzi kuu mbili tayari umetimiza zote zilizobakia kwa maana ni sehemu ya hizi kuu mbili za upendo kwa Mungu na kwa jirani.