kama anakupenda kwanini akurekodi?

Hongera[emoji867]
 
Mtu unaenda kwa mwanaume na akili timamu, anakuremodi unaona na unajua madhara yake why ukubali siku zote mwanaume ana mu operate mwanamke kutokana na akili za mwanamke mwenyewe jinsi zilivyo... Katika hili wanawake mjilaumu wenyewe mkilaumu wanaume mtakua mnawaomea bure
 
MabAharia mnamkumbuka yule jamaa wa dodoma na yule demu wake mweupe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…