Kama anayosema Gambo yanatoka moyoni, basi anapaswa kuonesha njia na kuwaomba msamaha CHADEMA kwa aliyowafanyia

pumba
 
Wanafiki huwa hawana guts za kuomba msamaha. Gambo akiomba msamaha basi kumbe hata lisu anaweza kuomba msamaha
 
Aanze kwa kumuimba radhi Lema mzee wa maono maana alimzingua sana kipindi yeye ni RC na Lema ni MP wa Arusha.
 
Gambo hata CCM yupo kwa maslahi yake binafsi na siyo mwanaCCM
"Opotunist" hapo anapiga hizo kelele Ili apewe uwaziri. Alipokua mkuu wa mkoa Gambo aliumiza wananchi wa aina zote, sio CHADEMA tu hadi CCM aliwaumiza. Ni selfish hatari, Ana kiburi na majivuno. Popote unapomwona anafanya kitu ujue ana maslah yake pale. Tulimuunga mkono Gambo Ili chama kisianguke tukidhani atajirekebisha lakini wapi.
Yeye KILA kiongozi anaekuja hapa Arusha hamtaki. Amejisahau sasa hivi yeye ni mbunge nwakilishi wa wananchi, na Rc na Dc ni wawakilishi wa Raisi. Yeye anataka afanye yote.
Majuzi kaandaa kikao Ili tu kumuharibia kijana huyo Dc kids na mkasa ni mkuu wa wilaya kaandaa ziara ya kuskiza changamoto za wananchi kata kwa kata, eti ye hapendi. Ajirekebishe
 
Nashindwa kuelewa tumlaumu nani aliyetuletea Mwendazake katika awamu iliyopita! Kwa kweli kama Mungu asingeingilia kati sijui Taifa lingekuwa katika hali gani sasa hivi.
Dictator angeiuza nchi kwa mabeberu
 
Namfahamu ni mjinga sn
 
Alitenda kwa niaba ya serikali na chama chake. Haina maana kumwajibisha mtu binafsi pekee

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Alitenda kwa niaba ya serikali na chama chake. Haina maana kumwajibisha mtu binafsi pekee

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Serikali na Chama watakuambia hatukuwahi kumtuma kufanya vitendo vya unyanyasaji na hilo halipo katika job description yake hivyo ashitakiwe kama mtu binafsi. Ukisema hivyo Ole Sabaya atasema alifanya aliyofanya akiwa Mkuu wa Wilaya kwa hiyo alitumwa na seikali na chama chake.
 
Mkuu ndio maana nikasema kama anayosema yanatoka moyoni basi aombe msamaha hadharani. Lasivyo wengi watamwona kuwa mnafiki tu
 
Mkuu ndio maana nikasema kama anayosema yanatoka moyoni basi aombe msamaha hadharani. Lasivyo wengi watamwona kuwa mnafiki tu
Akifanya hivyo ( kuomba msamaha) at least jamii inaweza kumuelewa kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…