Kama asingekosea kutaja jina langu, ningekuwa na hali gani sasa?

Wanaotumia ndumba wakati wa tendo hawasemagi hivyoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ usijali spells wakati wa sex haziko hivyo na huwezi hata kujua
 
Wanaotumia ndumba wakati wa tendo hawasemagi hivyoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ usijali spells wakati wa sex haziko hivyo na huwezi hata kujua
Ebu tupe uzoefu huwa inakuwaje? πŸ˜€ πŸ˜€
 
Dogo unakaa iddle sana. Mpaka unaanza ku imagine stories za kipumbavu kama hizi. Ukikosa kazi basi angalau hata pitia pitia katiba au mkataba wa DP World. Itakusaidia kuliko kuwa iddle halafu unaanza kujiwazia mambo kama haya ya kipumbavu na uongo wa kitoto.
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Kwa hiyo angepatia kutaja jina ungemnunulia kiwanja?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…