Kama asingekosea kutaja jina langu, ningekuwa na hali gani sasa?


Hivi mnapata wapi ujasiri wa kuwaambia hao malaya majina ya kweli?

Mimi hata wakati mwingine navaa sura bandia!
Mtu mwingine unakuta anakazania mpaka kupiga selfie na hao malaya tena kwenye simu zao...!!!
 
Hahaha! Kuna mmoja nilimpiga marufuku ni rafiki yangu wa kawaida sio hawa Malaya, mkiwa kwenye tendo akiona unakolea anaanza kuleta pigo zake sizielewi. Utasikia eti Black Walker utaninunulia kitu fulani tena anakazia basi nimekuwa nikibaki kimya huku nikimuangalia usoni mwake anavyohangaika ila kuna siku nimeona nimpatie makavu live.

Nikamwambia ukiwa na shida ya kitu chochote niambie sio unasubiria tukutane kwenye tendo mimi sio wa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…