Kama atafanikiwa kwenye hili basi atakuwa ndio Rais bora katika historia ya Tanzania na huenda akakumbukwa kwa vizazi hata vizazi

Kama atafanikiwa kwenye hili basi atakuwa ndio Rais bora katika historia ya Tanzania na huenda akakumbukwa kwa vizazi hata vizazi

UTANGULIZI:

Nimiaka zaidi ya arobaini ( 40 ) sasa tangu kugunduliwa kwa uwepo wa gesi Asilia huko Likong'o-Mchinga Lindi Pembezoni mwa bahari ya Hindi yenye futi za ujazo trilioni 57.7,Gesi hii baada ya kuchimbwa na kupoozwa kwa nyuzi Joto -260`F au -162'C nakuwa gasi miminika ndio inaitwa kitaalamu Liquefied Natural Gas ( LNG ) au inaweza kugandamizwa kwa Pressure kali ya 3'600 na kuitwa compressed Natural Gas ( CNG ) na hii ni baada ya kuondoa H20,CO2,SO2 na O2 hivyo kubaki gesi Safi ambayo inatumika kutoa Joto,kupoza vyakula,kuendesha magari, et El,

Tangu mwishoni mwa awamu ya nne Makampuni makubwa ya BG ( Shell )
ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway yanaendelea na sitaki nataka ili kuwekeza karibu Tshs 70trilioni au $30bl huko Likong'o Mchinga -Lindi,Mradi huu utatoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 15 na ajira ya muda elfu 5 na kuzalisha jumla ya tani 10M za LNG kwa mwaka,utaifanya Tanzania kuwa mzalishaji wa nne Africa wa Gesi asilia na kuingizia nchi fedha za kigeni zaidi ya $5.5BL au Tshs 13trilion kwa mwaka kwa kuuza hiyo tani 10 kwa bei ya $11 kwa mmbtu, Pesa hii ni sawa na 100% ya bajeti nzima ya "Maendeleo" ya nchi kwa mwaka mmoja wa Fedha.

Kwa msiofahamu,Mradi huu wa Likong'o-Mchinga Lindi ni miongoni mwamiradi mikubwa mitano Africa ikiwemo ule wa Rovuma-Mozambique wa $30BL wenye 85tct utakaomalizika 2025,Mozambique LNG wa $20BL wenye 75tct utakaomalizika 2024,Ogidigiben wa $20BL wa Serikali ya Nigeria wenye 18tct na Zabazaba wenye 93.8tct mali ya Shell Nigeria,Hapa unaweza kuona ushindani ulivyomkubwa na wenzetu wanazo deposit kubwa kuliko sisi na baadhi yao wamekubali kuwa na Visima ndani ya maji ( floating plant) ambavyo vinapunguza gharama kwa 35% ndio maana Mozambique LNG inajengwa kwa $20BL japo mfumo huu kuibiwa ni lazima,Sisi tutajenga mashine km 120 toka baharini ili kuilinda hii mali tuliyopewa na Mungu Serikali yenu ni makini sana "Kawia ufike "

Kama Rais Samia Suluhu Hassan atafanikiwa kuwashawishi hawa matajiri na kwa hulka yake tunaamini atafanikiwa na tunamwombea,Lakini pia bei ya LNG imepanda duniani na inatarajiwa kupanda zaidi na kufikia $40/mmbtu hapo baadae toka $2/mmbtu ( Nchi kama Marekani peke yake inahitaji 3.6tct kwa mwaka ) lakini pia kwa kuzingatia Amani na Umoja uliopo Tanzania,Viwango vidogo vya kodi pamoja na Sera zinazotabirika za Fedha na Uchumi awamu hii lazima HGA ifikie mwisho ili tuendelee na Pre-FEED ili ifikapo mwaka 2028 kabla Rais Samia hajaondoka Madarakani atukabidhi zawadi hii ya kihistoria tangu nchi hii kuumbwa huku Watangulizi wake wote wakiambulia patupu,

Uzoefu unaonesha maeneo mengi PSAs zilipitishwa kwa Serikali kupewa 20% ya shares zote kama hili litafanyika kwetu pia basi Tanzania itapokea wastani wa Tshs 3T kama mrabaha kwa kila mwaka kwa miaka yote ya mradi,Pesa hii inaweza kujenga SGR toka Isaka -Mwanza Km 341,Lakini pia kama 10% tu ya gasi yote ikibakishwa nchi kwaajili ya matumizi ya ndani kama maombi ya Serikali yalivyo hapa tutakuwa na ziada ya karibu tani 800K za gesi kwa mwaka kwani mahitaji yetu ya gesi bado ni chini ya Tani 200K hapa tujiandae kununua Kg 30 za gesi kwa buku ten tu na ndio maana nasema hapa Rais Samia atakumbukwa vizazi na vizazi tuendeleze dua na maombi ili kumtia nguvu,"mwenye masikio na asikie sasa ule mfupa uliowashinda wengine unatafunwa kama muhogo "
View attachment 1989249VIVA SAMIA VIVA || VIVA MAKAMBA VIVA
Twende na Samia Hadi 2040
 
Ngoja waje wachezaji wa Pingapinga FC.

Vipi mbowe bado amja mmaliza tu sisi watu wa Jiwe legacy tunasubiri kwa hamu Gaidi linyongwe maana sisi tuna jambo letu tunalipika mpaka kieleweke ili tupate tena DICTATOR MZARENDO KAMA MAGUFULI ,Tanzania bila ya dictator mzarendo ni ndoto kupata maendeleo kwa kasi
Mbowe ndio nani nchi hii,

Tunatafuta kuwaletea maendeleo Watanzania na ndio tulichoahidi
 
Uko sahihi mkuu,
Namuona Rais Samia akitikisa ndani na nje ya Tanzania,

Ipo siku tutanunua gesi kwa buku ten tu Kg 30.

Kazi iendelee
Utanunua gesi kwa buku ten tu kg 30 na wakati huo huo bundle tu la kuandika hizi porojo zenu kwenye mitandao mnadhaminiwa na Shaka Hamdu Shaka!
 
Utanunua gesi kwa buku ten tu kg 30 na wakati huo huo bundle tu la kuandika hizi porojo zenu kwenye mitandao mnadhaminiwa na Shaka Hamdu Shaka!
Ubaya uko wapi mkuu?

Shaka kama mwenezi anafanya kazi yake kisawasawa,

Karibu CCM
 
UTANGULIZI:

Nimiaka zaidi ya arobaini ( 40 ) sasa tangu kugunduliwa kwa uwepo wa gesi Asilia huko Likong'o-Mchinga Lindi Pembezoni mwa bahari ya Hindi yenye futi za ujazo trilioni 57.7,Gesi hii baada ya kuchimbwa na kupoozwa kwa nyuzi Joto -260`F au -162'C nakuwa gasi miminika ndio inaitwa kitaalamu Liquefied Natural Gas ( LNG ) au inaweza kugandamizwa kwa Pressure kali ya 3'600 na kuitwa compressed Natural Gas ( CNG ) na hii ni baada ya kuondoa H20,CO2,SO2 na O2 hivyo kubaki gesi Safi ambayo inatumika kutoa Joto,kupoza vyakula,kuendesha magari, et El,

Tangu mwishoni mwa awamu ya nne Makampuni makubwa ya BG ( Shell )
ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway yanaendelea na sitaki nataka ili kuwekeza karibu Tshs 70trilioni au $30bl huko Likong'o Mchinga -Lindi,Mradi huu utatoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 15 na ajira ya muda elfu 5 na kuzalisha jumla ya tani 10M za LNG kwa mwaka,utaifanya Tanzania kuwa mzalishaji wa nne Africa wa Gesi asilia na kuingizia nchi fedha za kigeni zaidi ya $5.5BL au Tshs 13trilion kwa mwaka kwa kuuza hiyo tani 10 kwa bei ya $11 kwa mmbtu, Pesa hii ni sawa na 100% ya bajeti nzima ya "Maendeleo" ya nchi kwa mwaka mmoja wa Fedha.

Kwa msiofahamu,Mradi huu wa Likong'o-Mchinga Lindi ni miongoni mwamiradi mikubwa mitano Africa ikiwemo ule wa Rovuma-Mozambique wa $30BL wenye 85tct utakaomalizika 2025,Mozambique LNG wa $20BL wenye 75tct utakaomalizika 2024,Ogidigiben wa $20BL wa Serikali ya Nigeria wenye 18tct na Zabazaba wenye 93.8tct mali ya Shell Nigeria,Hapa unaweza kuona ushindani ulivyomkubwa na wenzetu wanazo deposit kubwa kuliko sisi na baadhi yao wamekubali kuwa na Visima ndani ya maji ( floating plant) ambavyo vinapunguza gharama kwa 35% ndio maana Mozambique LNG inajengwa kwa $20BL japo mfumo huu kuibiwa ni lazima,Sisi tutajenga mashine km 120 toka baharini ili kuilinda hii mali tuliyopewa na Mungu Serikali yenu ni makini sana "Kawia ufike "

Kama Rais Samia Suluhu Hassan atafanikiwa kuwashawishi hawa matajiri na kwa hulka yake tunaamini atafanikiwa na tunamwombea,Lakini pia bei ya LNG imepanda duniani na inatarajiwa kupanda zaidi na kufikia $40/mmbtu hapo baadae toka $2/mmbtu ( Nchi kama Marekani peke yake inahitaji 3.6tct kwa mwaka ) lakini pia kwa kuzingatia Amani na Umoja uliopo Tanzania,Viwango vidogo vya kodi pamoja na Sera zinazotabirika za Fedha na Uchumi awamu hii lazima HGA ifikie mwisho ili tuendelee na Pre-FEED ili ifikapo mwaka 2028 kabla Rais Samia hajaondoka Madarakani atukabidhi zawadi hii ya kihistoria tangu nchi hii kuumbwa huku Watangulizi wake wote wakiambulia patupu,

Uzoefu unaonesha maeneo mengi PSAs zilipitishwa kwa Serikali kupewa 20% ya shares zote kama hili litafanyika kwetu pia basi Tanzania itapokea wastani wa Tshs 3T kama mrabaha kwa kila mwaka kwa miaka yote ya mradi,Pesa hii inaweza kujenga SGR toka Isaka -Mwanza Km 341,Lakini pia kama 10% tu ya gasi yote ikibakishwa nchi kwaajili ya matumizi ya ndani kama maombi ya Serikali yalivyo hapa tutakuwa na ziada ya karibu tani 800K za gesi kwa mwaka kwani mahitaji yetu ya gesi bado ni chini ya Tani 200K hapa tujiandae kununua Kg 30 za gesi kwa buku ten tu na ndio maana nasema hapa Rais Samia atakumbukwa vizazi na vizazi tuendeleze dua na maombi ili kumtia nguvu,"mwenye masikio na asikie sasa ule mfupa uliowashinda wengine unatafunwa kama muhogo "
View attachment 1989249VIVA SAMIA VIVA || VIVA MAKAMBA VIVA
Nitarudi,
Ila Samia jembe sana wanaompinga wengi wao ni vichaa tu,
 
Mwenye akili timamu hawezi kuutafuta utairi bila kujiandaa kuuhifadhi huo utajiri wake pahali salama. Huwezi kuwa na biashara ya mamilioni kwa siku na pesa unafungia kwenye box la karatasi. Ambalo mwendawazimu akiliona analipasua anachukuwa kiasi anachohitaji, mvua ikilinyeshea linapasuka, likiangukiwa na mbao linapasuka na kumwaga noti. Mwenye akili atafunga duka kwanza kutengeneza safe yenye sifa inayoendana na biashara anayoifanya.
 
Namba 1-3 hamna kitu na big boys wanajua labda enzi za JK...

Akitatua hayo watatu, kuachana na style ya Magufuli na kudhibiti wizi atatoboa
 
UTANGULIZI:

Nimiaka zaidi ya arobaini ( 40 ) sasa tangu kugunduliwa kwa uwepo wa gesi Asilia huko Likong'o-Mchinga Lindi Pembezoni mwa bahari ya Hindi yenye futi za ujazo trilioni 57.7,Gesi hii baada ya kuchimbwa na kupoozwa kwa nyuzi Joto -260`F au -162'C nakuwa gasi miminika ndio inaitwa kitaalamu Liquefied Natural Gas ( LNG ) au inaweza kugandamizwa kwa Pressure kali ya 3'600 na kuitwa compressed Natural Gas ( CNG ) na hii ni baada ya kuondoa H20,CO2,SO2 na O2 hivyo kubaki gesi Safi ambayo inatumika kutoa Joto,kupoza vyakula,kuendesha magari, et El,

Tangu mwishoni mwa awamu ya nne Makampuni makubwa ya BG ( Shell )
ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway yanaendelea na sitaki nataka ili kuwekeza karibu Tshs 70trilioni au $30bl huko Likong'o Mchinga -Lindi,Mradi huu utatoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 15 na ajira ya muda elfu 5 na kuzalisha jumla ya tani 10M za LNG kwa mwaka,utaifanya Tanzania kuwa mzalishaji wa nne Africa wa Gesi asilia na kuingizia nchi fedha za kigeni zaidi ya $5.5BL au Tshs 13trilion kwa mwaka kwa kuuza hiyo tani 10 kwa bei ya $11 kwa mmbtu, Pesa hii ni sawa na 100% ya bajeti nzima ya "Maendeleo" ya nchi kwa mwaka mmoja wa Fedha.

Kwa msiofahamu,Mradi huu wa Likong'o-Mchinga Lindi ni miongoni mwamiradi mikubwa mitano Africa ikiwemo ule wa Rovuma-Mozambique wa $30BL wenye 85tct utakaomalizika 2025,Mozambique LNG wa $20BL wenye 75tct utakaomalizika 2024,Ogidigiben wa $20BL wa Serikali ya Nigeria wenye 18tct na Zabazaba wenye 93.8tct mali ya Shell Nigeria,Hapa unaweza kuona ushindani ulivyomkubwa na wenzetu wanazo deposit kubwa kuliko sisi na baadhi yao wamekubali kuwa na Visima ndani ya maji ( floating plant) ambavyo vinapunguza gharama kwa 35% ndio maana Mozambique LNG inajengwa kwa $20BL japo mfumo huu kuibiwa ni lazima,Sisi tutajenga mashine km 120 toka baharini ili kuilinda hii mali tuliyopewa na Mungu Serikali yenu ni makini sana "Kawia ufike "

Kama Rais Samia Suluhu Hassan atafanikiwa kuwashawishi hawa matajiri na kwa hulka yake tunaamini atafanikiwa na tunamwombea,Lakini pia bei ya LNG imepanda duniani na inatarajiwa kupanda zaidi na kufikia $40/mmbtu hapo baadae toka $2/mmbtu ( Nchi kama Marekani peke yake inahitaji 3.6tct kwa mwaka ) lakini pia kwa kuzingatia Amani na Umoja uliopo Tanzania,Viwango vidogo vya kodi pamoja na Sera zinazotabirika za Fedha na Uchumi awamu hii lazima HGA ifikie mwisho ili tuendelee na Pre-FEED ili ifikapo mwaka 2028 kabla Rais Samia hajaondoka Madarakani atukabidhi zawadi hii ya kihistoria tangu nchi hii kuumbwa huku Watangulizi wake wote wakiambulia patupu,

Uzoefu unaonesha maeneo mengi PSAs zilipitishwa kwa Serikali kupewa 20% ya shares zote kama hili litafanyika kwetu pia basi Tanzania itapokea wastani wa Tshs 3T kama mrabaha kwa kila mwaka kwa miaka yote ya mradi,Pesa hii inaweza kujenga SGR toka Isaka -Mwanza Km 341,Lakini pia kama 10% tu ya gasi yote ikibakishwa nchi kwaajili ya matumizi ya ndani kama maombi ya Serikali yalivyo hapa tutakuwa na ziada ya karibu tani 800K za gesi kwa mwaka kwani mahitaji yetu ya gesi bado ni chini ya Tani 200K hapa tujiandae kununua Kg 30 za gesi kwa buku ten tu na ndio maana nasema hapa Rais Samia atakumbukwa vizazi na vizazi tuendeleze dua na maombi ili kumtia nguvu,"mwenye masikio na asikie sasa ule mfupa uliowashinda wengine unatafunwa kama muhogo "
View attachment 1989249VIVA SAMIA VIVA || VIVA MAKAMBA VIVA
Tatizo la Tanzania sio hizo rasilimali bali tawala mbovu na katiba mbovu.

Ata atawale malaika kwa katiba hii na uongozi mbovu hawezi kutoboa...katiba(mipango) kwanza ndipo mengine ufuata.
 
Mwenye akili timamu hawezi kuutafuta utairi bila kujiandaa kuuhifadhi huo utajiri wake pahali salama. Huwezi kuwa na biashara ya mamilioni kwa siku na pesa unafungia kwenye box la karatasi. Ambalo mwendawazimu akiliona analipasua anachukuwa kiasi anachohitaji, mvua ikilinyeshea linapasuka, likiangukiwa na mbao linapasuka na kumwaga noti. Mwenye akili atafunga duka kwanza kutengeneza safe yenye sifa inayoendana na biashara anayoifanya.
Toa ushauri mkuu nchi yetu sote hii,

Hebu sema wapi panashida ili watu wajue
 
Tatizo la Tanzania sio hizo rasilimali bali tawala mbovu na katiba mbovu.

Ata atawale malaika kwa katiba hii na uongozi mbovu hawezi kutoboa...katiba(mipango) kwanza ndipo mengine ufuata.
Sema tawala mbovu kwenye nini?

Ukisema Tawala mbovu general kuna wengine hata mwaka hawajamaliza
 
Namba 1-3 hamna kitu na big boys wanajua labda enzi za JK...

Akitatua hayo watatu, kuachana na style ya Magufuli na kudhibiti wizi atatoboa
Big boys ndio akina Nani?

Mama alishasema yeye ni kama Magufuli
 
Kwangu mimi Rais nitakayemkumbuka ni yule atakayewapatia watanzania urithi wa vizazi na vizazi yaani Katiba mpya ya nchi itakayotokana na mawazo yao wenyewe ambayo itakidhi mazingira ya sasa ya kimaisha.

Haya mengine mnayoyaandika kwa sasa naona ni muendelezo ya yale yale, kinachotakiwa ni kutibu chanzo cha yote haya, kutibu matawi ni kujichosha tu ndugu zangu.

Katiba ya sasa inaruhusu maandamano, Nenda kaandamane basi kwa kutaka katiba mpya, na ukisema ukiandamana unapigwa hapo itabidi ujipe mwenyewe majibu umuhimu wa katiba ni nini sasa kama inakuruhusu na ukifanya unapigwa. UMUHIMU WAKE NI UPI?
 
Sema tawala mbovu kwenye nini?

Ukisema Tawala mbovu general kuna wengine hata mwaka hawajamaliza
Total system from executive,judiciary and legislature... from bottom to the top na taasisi zake.

Katiba mbovu usababisha yote hayo juu kuwa dhaifu,ata nchi iwe na utitiri wa rasimali kama hakuna utaratibu wa namna ya kutumia hiyo mali(KATIBA BORA) ni sawa na bure tu
 
Kwahilo tusubili Mungu akituletea tena Kiongozi mwenye utimamu wa kizalendo na ukomavu wa kimaamuzi magumu na akili yakinifu kwa maslai maoana ya kitaifa vinginevyo bora ikabaki ardhini Tu maana itakuwa haina tija wala faida kwa wananchi Bali itakuwa na faida kwa vibaraka na mabwana zao huo ni wangu mtazamo wa kisiasa ktk awamu hii!!!Tingoje Tu !!
 
Back
Top Bottom