johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Natoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT-Wazalendo wajiunge na SUK na CHADEMA wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
ACT-Wazalendo wajiunge na SUK na CHADEMA wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!