Kama baba wa demokrasia duniani Marekani ameipongeza Tanzania, CHADEMA na ACT-Wazalendo wajipange upya

ARE YOU INSANE
 
Kwa Wenu wenu wana Lumumba hapo ndo Gullian amewasifia??? Unajua kiingereza vizuri wewe??? Hapo amesifu au amewakejeli???

Tuliwaambia nyie ni ma certified vilaza mnasema tunawatukana kumbe ndo ukweli πŸ˜€
ushahidi huu hapa
 
Kwa Wenu wenu wana Lumumba hapo ndo Gullian amewasifia??? Unajua kiingereza vizuri wewe??? Hapo amesifu au amewakejeli???

Tuliwaambia nyie ni ma certified vilaza mnasema tunawatukana kumbe ndo ukweli πŸ˜€
hahahahahaaaaaa, wewe kiingereza unakielewa, vizuri mkuu
 
Asante Mungu uliyetutea na korona umetutetea na hila za wachonganishi wanayoiombea njaa nchi nchi yetu .Sabato ni njema sana hasa ya leo
 
Kwa Wenu wenu wana Lumumba hapo ndo Gullian amewasifia??? Unajua kiingereza vizuri wewe??? Hapo amesifu au amewakejeli???

Tuliwaambia nyie ni ma certified vilaza mnasema tunawatukana kumbe ndo ukweli πŸ˜€
Halafu huyo mmarekani hajui vizuri sheria ya uchaguzi ya Tanzania, yeye anaongelea mail ballot, wakati sisi hatuna hiyo kitu.
 
Bwashee mbna mnaweweseka sana???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…