Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio ubovu wa akili tunaouzungumza kila siku..!! Michongo ni jinsi utakavyotengeneza connection na si kumpangia mtu eneo la kuishiHabari wadau..!
Huu ni ukweli mtupu wengi watabisha najua.Epuka kuishi maeneo tajwa hapo.
Facts
1.Michongo mingi ipo Ilala,Kino kidogo sana Ubungo.
2.Hizi wilaya kuna uswahili sana mambo ya ajabu ajabu ,mixer ushirikina kulogana ili mtoto wa fulani asitoboe
3.Wizi wa kurudishana nyuma kimaendeleo n.k.
4.Temeke na Kigamboni mzunguko wa biashara upo chini sana nz wanao ishi wengi ni low income.
Ila km unataka kuja Dar na hauna pakufikia nenda kafikie Temeke- Mbagala utanikumbuka
Tujadili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Case closedMaisha popote ili mradi mkono uende kinywani na maisha yaende
Tatizo watoa michongo wote hawaishi Temeke ndio maana,unaamua kushinda Kino na kulala Temeke😂😂😂Sehemu ya kuisi haihusiani na michakato yako ya kuingiza kipato bana wapo wanaokaa mbagala na kazi wanapiga kinondoni mkuu au magogoni uiwadanganye watu.
KurasiniChang'ombe au wailes
Huko kumejaa mateja na machangudoaKaishi Kinondoni ukapewe mchongo wa kuwa punda wa kubeba ngada
Ushauri wako ni wa maisha ya upigaji dili na kushinda kwenye kona za mitaa kukimbizana na polisi. Maisha popote, kunawatu wameanzisha maisha porini kusikokuwa na watu na wamefanikiwa kutoboa.Habari wadau..!
Huu ni ukweli mtupu wengi watabisha najua.Epuka kuishi maeneo tajwa hapo.
Facts
1.Michongo mingi ipo Ilala,Kino kidogo sana Ubungo.
2.Hizi wilaya kuna uswahili sana mambo ya ajabu ajabu ,mixer ushirikina kulogana ili mtoto wa fulani asitoboe
3.Wizi wa kurudishana nyuma kimaendeleo n.k.
4.Temeke na Kigamboni mzunguko wa biashara upo chini sana nz wanao ishi wengi ni low income.
Ila km unataka kuja Dar na hauna pakufikia nenda kafikie Temeke- Mbagala utanikumbuka
Tujadili.
😂😂😂😂
Hivyo yaaniKurasini
Sababu kuna hela ndio maana watoto wa Temeke wanaenda danga Kino asubuhi subuhi wanarudishwa na bodaboda😂😂Huko kumejaa mateja na machangudoa
Temeke yote kasoro kota kota zileUnazungumzia temeke sehemu gani kwanza?
Kwa kindandeSehemu gani nzuri huko Temeke?
Kota za kurasini na Chang'ombe bhaasiTemek
Temeke yote kasoro kota kota zile