Kama bado maisha magumu Dar hama nenda haya

Kwamba shinyanga, mwanza na geita Zimechangamka kibiashara kuliko mbeya, tunduma, mafinga, makambako, mbinga, ubaruku, iringa, njombe. We jamaa hizi sehemu unazijua kweli? Mimi nadhani wewe ni msukuma.

Mkuu nazifahamu vzr sana wakazi wa mwanza, geita hawakopi na biashara zao zimenyooka sana tofaut na mbeya iringi mzunguko mdogo sana

Wanakopa sana at least tunduma ila kwengine kote mzunguko mdogo sana
 

Sawa dotto mwenyewe katoboa kwenye uchawa
Kama na wewe unataka uchawa kama kina mwijaku fresh
 
Nawakilisha DAR nipo katavi saa hii. Kiukweli uku bado. Fulsa ni zakuzoa.

Mkoa mbichi sana huu, na unawakaz wengi wafanya biashara ni wasukuma na niwakulima, wamenyooka sana hawana longo longo wakitoka kuvuna [emoji1491]
 
Sumbawanga...mpui..
Songea...namabengo
 
Kwamba shinyanga, mwanza na geita Zimechangamka kibiashara kuliko mbeya, tunduma, mafinga, makambako, mbinga, ubaruku, iringa, njombe. We jamaa hizi sehemu unazijua kweli? Mimi nadhani wewe ni msukuma.
Mkuu vipi mbinga fursa ni nyingi kuliko masasi?
 
Unanishauri nini mimi wa Dar es salama niliyekimbia ila niko mkoani nakula za uso natamani kuacha ajira nirudi nyumbani kupiga debe buguruni , wanangu akina Juma kikapu hawataacha kunipa deiwaka ya hitcher za mbagala
 
uzi mzuri but nimeshakaa mikoa yote uliyoitaja afadhali kukomaa dar esalam, ukishindwa nenda morogoro au mwanza hiyo mikoa uliyoitaja inasumbuliwa sana na 1. UCHAWI 2. UBINAFSI 3. MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA. ukienda jipange kisaikolojia.
 
uzi mzuri but nimeshakaa mikoa yote uliyoitaja afadhali kukomaa dar esalam, ukishindwa nenda morogoro au mwanza hiyo mikoa uliyoitaja inasumbuliwa sana na 1. UCHAWI 2. UBINAFSI 3. MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA. ukienda jipange kisaikolojia.

Hii ni kweli mkuu! Haswa mbeya iko vzr sana na uchawi, moro sijawah kukaa

Ila mwanza iko juu zaidi..


Kama unanguvu pambana na dar utatoboa pia
 
uzi mzuri but nimeshakaa mikoa yote uliyoitaja afadhali kukomaa dar esalam, ukishindwa nenda morogoro au mwanza hiyo mikoa uliyoitaja inasumbuliwa sana na 1. UCHAWI 2. UBINAFSI 3. MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA. ukienda jipange kisaikolojia.

Hii ni kweli mkuu! Haswa mbeya iko vzr sana na uchawi, moro sijawah kukaa

Ila mwanza iko juu zaidi..


Kama unanguvu pambana na dar utatoboa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…