Kama bado maisha magumu Dar hama nenda haya

Hii ni kweli mkuu! Haswa mbeya iko vzr sana na uchawi, moro sijawah kukaa

Ila mwanza iko juu zaidi..


Kama unanguvu pambana na dar utatoboa pia
kutoboa ni ngumu sana hiyo mikoa kuna vita za nguvu za giza sana sishauri mtu kwenda kuanza maisha kule kama hupendelei vurugu za hivyo itamchukua miaka mingi kukaa sawa labda nawe uwe mpenda shirki ili uende nao sawa.
 
uzi mzuri but nimeshakaa mikoa yote uliyoitaja afadhali kukomaa dar esalam, ukishindwa nenda morogoro au mwanza hiyo mikoa uliyoitaja inasumbuliwa sana na 1. UCHAWI 2. UBINAFSI 3. MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA. ukienda jipange kisaikolojia.
Point.
Ila nilivyoizoea Dar sidhani kama nitaweza ku migrate.
Labda kama ningezaliwa hiyo mikoa ya big 4.
Ila sikatai kule Kuna fursa sana sana. Uende ukiwa miaka under 45. Kama ni zaidi unapotea ukitokea Dar
 
Hii ni kweli mkuu! Haswa mbeya iko vzr sana na uchawi, moro sijawah kukaa

Ila mwanza iko juu zaidi..


Kama unanguvu pambana na dar utatoboa pia
ukiona MKOA una dominance ya kabila Moja au mawili usiende ushirikina nje nje hasa hizi biashara za maduka.

Morogoro, DODOMA, Arusha, Dar es salaam

At least huko mchanganyiko ni mkubwa kwa Moro na DODOMA nazungmzika Moro town na DODOMA city huko bush ni mwendo wa kupuliza tu.

There is no success like dar success.
 
Ukitaka kukimbia Dar ni uende nje ya nchi. Nchi yote hii kutoka ni ngumu sana.
 
Kwa kusini ni sehemu nzuri kama huna kitu kbsa cha kuanzia lkn kama unakitu tayar nenda kanda ya ziwa ila bukoba chato usiende kbsa

Kanda ya ziwa popote unaweza kuanza,kuhusu chato bkb nadhani ibaki kuwa mitazamo binafsi.

Ila kama una lengo la kumiliki ardhi ya kuyossha nenda mikoa ya kusini.
 
Sio rahisi Mtu kutoka dsm hasa sisi vijana maana dar ndo Sehemu pekee unaweza pata pesa ya chap chap ukizingatia na Maisha ya dar. Matajiri wengi wapo huku .

Kama una fani
Kipaji
Elimu basi usicheze mbali na hili jiji la kitajiri.
 
Mkoani labda upate kazi au uamue kwenda kufanya kilimo ila kwa hustle za mtaani tu bora ukomae dar. Mkoani mzunguko wa hela ni mdogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…