Kama Barua yenu kwa Spika Ndugai imeitwa 'Kipeperushi' mkienda kukutana na Rais Samia angalieni tu asiwaite 'Wapuuzi' pia

Acha utani inamsikilizaga ndugai?
 
CDM haijawahi kupereka majina tume ya uchaguzi ili hao covid 19 wateuliwe uhuni unaanzia hapo
Namhurumia sana Ndugai. Pale historia itakapoandikwa itakuwa katili sana kwake, kiasi kwamba wajukuu zake hawatapenda kujihusisha na jina hilo. Hata watu watadiriki kwenda kufukua kaburi lake waone fuvu lake lilikuwa dogo kiasi gani cha kutoweza kuhifadhi ubongo wa kutosha!
 
Kweli wewe ni popoma uliyetukuka,Samia siyo mpumbavu kama alivyokuwa Magufuli, hawezi kutamka hayo maneno, Ndugai na Magufuli wana akili sawa,wote ni mapopoma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…