Siri Kati ya kampuni na serikali?serikali ni sisi tunahitaji kujua tumeninua Nini kwa kiasi gani,unazungumzia bunge!bunge la ndugai? Mzee Assad alishasemaga.....ni dhaifu utapata jibu gani?Mikataba ya biashara ni siri popote duniani haiwezi kuwekwa wazi kwa maslahi ya kampuni husika vinginevyo utakuwa umekiuka masharti ya mkataba.
Huyu polepole halafu huyu jamaa sijui Ni mzee au kijana?. Na arudishe memory zake alipokuwa mjumbe wa tume ya kariba
πππ ukitaka kuua nyoka ponda kichwa , nimetandika utosi unaweweseka !Kati ya wapambe wa Cdm ambao huwa hawajui kitu bali unakaririshwa mambo ni wewe hapo. Wakisema tuseme haikupitishwa na bunge,unakurupuka kama nguruwe pori. Sasa hivi umedakia mikataba. Mbona huombi mkataba wa ujenzi wa Sgr? Flyover? Daraja la busisi? Kapuku kama wewe unajua kusoma hata mkataba?
Ni usiri. Mtoto wa Dada na Mjomba wake ndiyo TANZANIA!!!!. Nchi ni YAO. Wananchi watakapoidai nchi yao, wallahi wajiandae kurudi Burundi wakiwa majeruhi au mfu.Binafsi nilitarajia usiri wa bei katika kununua
hizo ndege baada ya kukubaliana bei ndio iwe chanzo cha usiri wa mikataba ya manunuzi kwa malengo ya kibiashara(mteja mwingine nae aje ani-gotiate bei na terms za manunuzi kivyake).
Sasa kama gharama ya kununua hizi ndege imetajwa,nini tena msingi wa usiri huu?
Je,inawezekana bei iliyoko katika mikataba ni tofauti na iliyoko katika vitabu vya Bajeti?
Na je,kuna logic ya kujadili vitu vilivyoko katika mikataba ya siri?
Tusaidieni katika hili.
Binafsi nilitarajia usiri wa bei katika kununua
hizo ndege baada ya kukubaliana bei ndio iwe chanzo cha usiri wa mikataba ya manunuzi kwa malengo ya kibiashara(mteja mwingine nae aje ani-gotiate bei na terms za manunuzi kivyake).
Sasa kama gharama ya kununua hizi ndege imetajwa,nini tena msingi wa usiri huu?
Je,inawezekana bei iliyoko katika mikataba ni tofauti na iliyoko katika vitabu vya Bajeti?
Na je,kuna logic ya kujadili vitu vilivyoko katika mikataba ya siri?
Tusaidieni katika hili.
Umedanganywa na polepole, bunge lilikuwa linapewa taarifa mzee kashaagiza ndege.Tundu anaongopa eti Bunge hakuna taarifa
Muulize DJ wa wizara ya fedhaJana polepole kazungumza ujinga mtupu, eti anashangilia tume kuenvua wagombea kwa kukosea kujaza fomu, sehemu ya muhuri kuandika kitu kingine, kwani tunashindanisha kujua kujaza fomu wagombea? Tume ilipaswa kuengua wagombea kwa sababu za kikatiba
Dogo, ukishaamua kujiunga na majukwaa ya wakubwa, jitahidi kuweka pembeni akili za kitoto.Baba yako.
Kimantiki iko hivyo lkn kiuhalisia wabunge wa Tz hahakilishi wtz Bali wanajiwakilisha wenyewe na Kama wangekuwa wanawakilsha wananchi wangekuwa wanaongelea issues za wananchi.wabunge wa Tz hawajitambui na wako kwa maslahi yao.Ki msingi kunahitajika kuwa na jitahada kubwa za kuubadilisha mfumo uliopo Sasa.Nadhani katiba mpya ilikuwa ni suluhisho ya baadhi ya mambo kuwa Sasa tofauti na Hilo bado tuna safari ndefu kufanya nchi ikakaa sawa.Kwa Sasa kea mfano kuna ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu mfano vyombo ya kutoa haki vinawabeba matairi ma kuwabinya wasio nacho.yako mengi wenzangu mtaendelea kuyadadavua zaidi.Ipo siku mtaomba hadi mikataba ya kununulia ndege vita,maana mnaushabiki wa kishamba.
Nini maana ya kuwa na bunge? Bunge ndio wananchi wa Tanzania wao ndio wanatuwakilisha,muwe mnatumia akili.
Ya watu na makampuni binafsi, ndio. Mikataba inayohusu matumizi ya pesa za umma inakuwa wazi katika nchi zote za kidemokrasia. Kama ilivyo mishahara na marupurupu ya watumishi wote wa umma. Inakuwa siri pale tu ambapo serikali inathibitisha ( mara nyingi kwa Mahakama) kuwa kuiweka wazi kutaathiri usalama wa nchi.Mikataba ya biashara ni siri popote duniani haiwezi kuwekwa wazi kwa maslahi ya kampuni husika vinginevyo utakuwa umekiuka masharti ya mkataba.
Mkataba wa Rada tulijuaje Kama Kuna chenji yetu?inawezekana na huku Kuna ka chenji tupate angalau ka ist.Mikataba ya biashara ni siri popote duniani haiwezi kuwekwa wazi kwa maslahi ya kampuni husika vinginevyo utakuwa umekiuka masharti ya mkataba.
Tatizo ukishakubali kuingia huko aliko,ni lazima watoe ubongo kwasababu wanasemaga hautumiki huko.[emoji40]Huyu polepole halafu huyu jamaa sijui Ni mzee au kijana?. Na arudishe memory zake alipokuwa mjumbe wa tume ya kariba
MAGUFULI HATUFAI NI MWIZI WA RAMBIRAMBI NA HAJUI KIINGEREZA
Huu upumbavu ndio unatufanya tuonekane wajinga mbele ya MabeberuMikataba ya biashara ni siri popote duniani haiwezi kuwekwa wazi kwa maslahi ya kampuni husika vinginevyo utakuwa umekiuka masharti ya mkataba.
Kutoka mabegani kuteremuka miguuni nikijana lakini kwenda juu mabega hadi kichwa nikikongwe yani ni mixer tuu kijana kikongweHuyu polepole halafu huyu jamaa sijui Ni mzee au kijana?. Na arudishe memory zake alipokuwa mjumbe wa tume ya kariba