joe78
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 315
- 356
Siri Kati ya kampuni na serikali?serikali ni sisi tunahitaji kujua tumeninua Nini kwa kiasi gani,unazungumzia bunge!bunge la ndugai? Mzee Assad alishasemaga.....ni dhaifu utapata jibu gani?Mikataba ya biashara ni siri popote duniani haiwezi kuwekwa wazi kwa maslahi ya kampuni husika vinginevyo utakuwa umekiuka masharti ya mkataba.