Kama CAF wameamua Mechi ya Ufunguzi na Fainali za AFCON 2027 zifanyike Kenya, kuna Faida gani Tanzania kuwa Muandaaji?

Kama CAF wameamua Mechi ya Ufunguzi na Fainali za AFCON 2027 zifanyike Kenya, kuna Faida gani Tanzania kuwa Muandaaji?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.

Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za ufungyna Fainali ndio hufuatiliwa zaidi na ndio Zina faida kiuchumi,Sasa iweje mechi zote 2 zifanyike Nairobi wakati Tanzania tuna uwanja mkubwa wa Taifa na Mashariki wa ukweli wa soka? Je hii ni fair? 👇👇

--
The Office of State House Spokesperson on Sunday announced that Kenya would play host to the 2027 African Cup of Nations (AFCON) opening and closing ceremonies.

This will be held at the Talanta Sports City Stadium which is currently under construction and is expected to be ready in time to host matches and ceremonies during the continental football event.

Once completed, the stadium is expected to be one of the largest in the region and up to FIFA standards accredited to host international matches.

"The tremendous progress in the construction of the 60,000-seater Talanta Sports City, the prime Sports Arena being built at the Jamhuri Grounds, under Cabinet Secretary Ababu Namwamba's Sports Ministry. This is where the Opening and Closing Ceremonies of the 2027 Afcon will be held," a statement from the office of State House Spokesperson read in part.
President William Ruto unveils the East African Community Pamoja bid for the AFCON 2027 at State House on Monday, May 15, 2023.

President William Ruto unveils the East African Community Pamoja bid for the AFCON 2027 at State House on Monday, May 15, 2023.

PCS

Kenya is expected to host AFCON 2027 together with Uganda and Tanzania.

The Confederation of African Football (CAF) is mandated with drawing up the fixtures and making all announcements on events and logistics.

Other stadiums in Kenya expected to host matches include the Moi International Sports Centre, Kasarani and the Nyayo Stadium.

In Tanzania, Benjamin Mkapa Stadium and CCM Kirumba Stadium are tentatively on the list expected to host AFCON matches.

On the other hand, Uganda is expected to host matches at Mandela and Nakivubo stadiums.

Kenya is the only country among the trio that has embarked on building a stadium solely for the football extravaganza.

The stadium is expected to be completed by December 2025 and is being constructed by the Kenya Defence Forces (KDF) under the supervision of the Ministry of Sports.

While the cost of constructing the stadium has not been made public, it is expected to cost upwards of Ksh30 billion.

My Take
Kama hizo taarifa ni za kweli hiyo Afcon yenyewe Haina maana na bila shaka Watanzania wataipuuza , Hatuwezi kubali hii dharau.

Updates:Thank you CAF Kwa kuwakanusha Wakunya 😂😂👇👇

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1810366299362529429?t=SjPdfVjfFzSCDzUfwDfE7A&s=19
 
Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.

Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za ufungyna Fainali ndio hufuatiliwa zaidi na ndio Zina faida kiuchumi,Sasa iweje mechi zote 2 zifanyike Nairobi wakati Tanzania tuna uwanja mkubwa wa Taifa na Mashariki wa ukweli wa soka? Je hii ni fair? 👇👇

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1809834967393808591?t=89flDr5OmANfZTUlMkPwvQ&s=19

My Take
Kama hizo taarifa ni za kweli hiyo Afcon yenyewe Haina maana na bila shaka Watanzania wataipuuza.

Uchumi wa Kenya uko Juu🐼
 
Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.

Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za ufungyna Fainali ndio hufuatiliwa zaidi na ndio Zina faida kiuchumi,Sasa iweje mechi zote 2 zifanyike Nairobi wakati Tanzania tuna uwanja mkubwa wa Taifa na Mashariki wa ukweli wa soka? Je hii ni fair? 👇👇

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1809834967393808591?t=89flDr5OmANfZTUlMkPwvQ&s=19

My Take
Kama hizo taarifa ni za kweli hiyo Afcon yenyewe Haina maana na bila shaka Watanzania wataipuuza.

Maandamano yameisha kajificha angle gani huyo au anapunguza stress
 
Tanzania ni bwana mdogo hapa East Africa.

Miundo-mbinu, lugha, watangazaji, matangazo ya kibiashara, promotion wapo kimya kimya kimataifa hawajimwambafai kama wenzetu wa Uganda na Kenya kuhusu uwezo wa kuanda AFCON 2027.

View: https://m.youtube.com/watch?v=IRjwgi3NVLA

Habari zote za AFCON 2027 zinatolewa Uganda na Kenya kwa ki English sisi huku tunasumulia ujenzi wa viwanja kwa kiSwahili kwa jumuiya ya kimataifa, hivyo hakuna habari zozote kwa kiEnglish zitokazo Tanzania zilizoandaliwa na waTanzania kuelezea nchi ilivyo tayari mbali ya mpira malazi watalala wapi, wataburudika vipi, mawasiliano ya TEHAMA ni rahisi kiasi gani, usafiri wa ndege mabasi maboti nchini upo vipi. Matangazo ya beer, usafiri, malazi kwa kiEnglish ? Hakuna habari hizo mtambuka kusapoti uwenyeji wetu ili mechi ya fainali ifanyike Tanzania

Wapenzi wetu wa mpira ni wengi ila mahojiano yao yote ni kwa kiSwahili hakuna kijiwe mtaani wala studio katika kituo cha televisheni wala online wanaoendesha mijadala kwa kiEnglish mashabiki wakaelewa Tanzania kupo vipi kimpira na masuala mtambuka.

Hakuna kiEnglish Azam TV, Uhuru FM, Wasafi wala Clouds Media n.k Matangazo ya kibiashara yaliyosukwa Tanzania kwa kiEnglish hakuna, corporate CEO wanaoongea kiEnglish hawapo ktk TV Stations main media wala Online media. Wote wanatema kiSwahili muda wote hata katika mikutano ya kimataifa inayofanyika Tanzania iwe Arusha, Dar es Salaam na Zanzibar hadi wanaohudhuria wanaumia masikio kwa kuvaa headphones wakati Tanzania lugha ya kiingereza ni lugha rasmi ya biashara, mahakama na serikali...

Ushawishi / Lobbying katika masuala ya kimataifa Tanzania inategemea hisani haina juhudi kimataifa kuji brand


View: https://m.youtube.com/watch?v=fPnSlGBfqGY&pp=ygUOU2hhYmlraSAgU2ltYmE%3D
 
Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.

Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za ufungyna Fainali ndio hufuatiliwa zaidi na ndio Zina faida kiuchumi,Sasa iweje mechi zote 2 zifanyike Nairobi wakati Tanzania tuna uwanja mkubwa wa Taifa na Mashariki wa ukweli wa soka? Je hii ni fair? 👇👇

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1809834967393808591?t=89flDr5OmANfZTUlMkPwvQ&s=19

My Take
Kama hizo taarifa ni za kweli hiyo Afcon yenyewe Haina maana na bila shaka Watanzania wataipuuza.

CAF….. two cities can not host the opening!
 
Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.

Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za ufungyna Fainali ndio hufuatiliwa zaidi na ndio Zina faida kiuchumi,Sasa iweje mechi zote 2 zifanyike Nairobi wakati Tanzania tuna uwanja mkubwa wa Taifa na Mashariki wa ukweli wa soka? Je hii ni fair? 👇👇

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1809834967393808591?t=89flDr5OmANfZTUlMkPwvQ&s=19

My Take
Kama hizo taarifa ni za kweli hiyo Afcon yenyewe Haina maana na bila shaka Watanzania wataipuuza.

Na kwa taarifa yako wakati wa hayo mashindano hata kuwe na maandamano huko Kenya, hizo mechi zitafanyika huko huko Kenya. Hapo ndio ujue Kenya iko mbali na sisi kwa kiwango gani. Kitendo cha wakenya kuwa transparent kwa mambo yao, kumewafanya dunia kuwa na imani nao kuliko sisi tunaodhibiti habari. Mataifa mengine yanaogopa tunaweza kuzima iternet wakati wa fainali. Yale maandamano yao ingekuwa Tanzania internet ingezimwa siku nyingi. Kwenye nchi ambayo vyombo vya habari ni kusifia tu majizi ya kura nani ataawamini? Tena ilitakiwa tanzania ipewe mechi tatu tu.
 
Tanzania ni bwana mdogo hapa East Africa.

Miundo-mbinu, lugha, watangazaji, matangazo ya kibiashara, promotion wapo kimya kimya kimataifa hawajimwambafai kama wenzetu wa Uganda na Kenya kuhusu uwezo wa kuanda AFCON 2027.


Habari zote za AFCON 2027 zinatolewa Uganda na Kenya kwa ki English sisi huku tunasumulia ujenzi wa viwanja kwa kiSwahili kwa jumuiya ya kimataifa, hivyo hakuna habari zozote kwa kiEnglish zitokazo Tanzania zilizoandaliwa na waTanzania kuelezea nchi ilivyo tayari mbali ya mpira malazi watalala wapi, wataburudika vipi, mawasiliano ya TEHAMA ni rahisi kiasi gani, usafiri wa ndege mabasi maboti nchini upo vipi. Matangazo ya beer, usafiri, malazi kwa kiEnglish ? Hakuna habari hizo mtambuka kusapoti uwenyeji wetu ili mechi ya fainali ifanyike Tanzania

Wapenzi wetu wa mpira ni wengi ila mahojiano yao yote ni kwa kiSwahili hakuna kijiwe mtaani wala studio katika kituo cha televisheni wala online wanaoendesha mijadala kwa kiEnglish mashabiki wakaelewa Tanzania kupo vipi kimpira na masuala mtambuka.

Hakuna kiEnglish Azam TV, Uhuru FM, Wasafi wala Clouds Media n.k Matangazo ya kibiashara yaliyosukwa Tanzania kwa kiEnglish hakuna, corporate CEO wanaoongea kiEnglish hawapo ktk TV Stations main media wala Online media. Wote wanatema kiSwahili muda wote hata katika mikutano ya kimataifa inayofanyika Tanzania iwe Arusha, Dar es Salaam na Zanzibar hadi wanaohudhuria wanaumia masikio kwa kuvaa headphones wakati Tanzania lugha ya kiingereza ni lugha rasmi ya biashara, mahakama na serikali...

Ushawishi / Lobbying katika masuala ya kimataifa Tanzania inategemea hisani haina juhudi kimataifa kuji brand

4 July 2024
Who else is anticipating AFCON 2027?Get ready to be amazed as we take you on an exclusive tour of the mind-blowing construction of the East African stadiums for the AFCON 2027 tournament! In this captivating video, we delve into the massive developments and meticulous preparations that are underway to make this monumental event an unforgettable experience. From cutting-edge sports facilities to the latest construction updates, we offer you

View: https://m.youtube.com/watch?v=naHhOCZUPkQ&pp=ygUcQUZDT04gMjAyNyBwcmVwYXJhdGlvbnMgMjAyNA%3D%3D
 
Back
Top Bottom