Kama CAF wameamua Mechi ya Ufunguzi na Fainali za AFCON 2027 zifanyike Kenya, kuna Faida gani Tanzania kuwa Muandaaji?

Kama CAF wameamua Mechi ya Ufunguzi na Fainali za AFCON 2027 zifanyike Kenya, kuna Faida gani Tanzania kuwa Muandaaji?

Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.

Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za ufungyna Fainali ndio hufuatiliwa zaidi na ndio Zina faida kiuchumi,Sasa iweje mechi zote 2 zifanyike Nairobi wakati Tanzania tuna uwanja mkubwa wa Taifa na Mashariki wa ukweli wa soka? Je hii ni fair? 👇👇

--
The Office of State House Spokesperson on Sunday announced that Kenya would play host to the 2027 African Cup of Nations (AFCON) opening and closing ceremonies.

This will be held at the Talanta Sports City Stadium which is currently under construction and is expected to be ready in time to host matches and ceremonies during the continental football event.

Once completed, the stadium is expected to be one of the largest in the region and up to FIFA standards accredited to host international matches.

"The tremendous progress in the construction of the 60,000-seater Talanta Sports City, the prime Sports Arena being built at the Jamhuri Grounds, under Cabinet Secretary Ababu Namwamba's Sports Ministry. This is where the Opening and Closing Ceremonies of the 2027 Afcon will be held," a statement from the office of State House Spokesperson read in part.
President William Ruto unveils the East African Community Pamoja bid for the AFCON 2027 at State House on Monday, May 15, 2023.

President William Ruto unveils the East African Community Pamoja bid for the AFCON 2027 at State House on Monday, May 15, 2023.

PCS

Kenya is expected to host AFCON 2027 together with Uganda and Tanzania.

The Confederation of African Football (CAF) is mandated with drawing up the fixtures and making all announcements on events and logistics.

Other stadiums in Kenya expected to host matches include the Moi International Sports Centre, Kasarani and the Nyayo Stadium.

In Tanzania, Benjamin Mkapa Stadium and CCM Kirumba Stadium are tentatively on the list expected to host AFCON matches.

On the other hand, Uganda is expected to host matches at Mandela and Nakivubo stadiums.

Kenya is the only country among the trio that has embarked on building a stadium solely for the football extravaganza.

The stadium is expected to be completed by December 2025 and is being constructed by the Kenya Defence Forces (KDF) under the supervision of the Ministry of Sports.

While the cost of constructing the stadium has not been made public, it is expected to cost upwards of Ksh30 billion.

My Take
Kama hizo taarifa ni za kweli hiyo Afcon yenyewe Haina maana na bila shaka Watanzania wataipuuza , Hatuwezi kubali hii dharau.

Updates:Thank you CAF Kwa kuwakanusha Wakunya 😂😂👇👇

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1810366299362529429?t=SjPdfVjfFzSCDzUfwDfE7A&s=19

Hqpq kuna tatizo maana ukiangalia tanzania tuna facilities bora kuliko kenya
 
Hii ni point inatumiwa zaidi kupinga matumizi ya English kama lugha ya kufundishia mashuleni but kwa maoni yangu huwezi kulinganisha mahitaji ya maskini (Tz) na tajiri(China).

China ni second wolrd largest economy ambayo tunavyoenda itaipiku US na kuwa super power. Unaanzaje kuilinganisha na nchi masikini kama tz?

China wanatumia Chinese, uwezo wa kuandika vitabu in Chinese wanao, technology iko juu na China hawahitaji kukopa vimikopo kama bongo.

Sisi tuna njaa, hatuna technology, hatuna elimu bora, hatuna capital, tunahitaji fursa,watalii, mikopo na misaada, kwa dunia ilipo sasa tunahitaji kufundishana kwa nguvu, kuanzia vidudu, lugha ya kusaka fursa, mikopo na misaada, na lugha hiyo ni English.

Tunakipenda sana kiswahili chetu tuendelee kuongea mitaani ila sio shuleni, sababu kiswahili ndio barrier namba moja kwenye ushiriki wetu katika uchumi wa dunia. We are left aside kama kisiwa!! Wazee hawataki kusikia ila huu ni ukweli mchungu!!

Mtandaoni kumejaa call for proposals , jobs, scholarships na mikopo ila kwa kuwa hatujui English fursa hizo zinaishia Kenya, Ghana, Nigeria etc.

Kenya wanaongea English mbovu but kila mtu ana NGO hadi vichochoroni akiajiri ndugu na marafiki zake wanakula tu pesa za wazungu, sisi graduates wetu wote wanahaha kupata ajira za sirikali maana sekta binafsi haina ajira za kutosha, job vacancy moja waombaji elfu 20!!

Hebu nenda Doha au Dubai airports uone wakenya wamejaa wanaendesha forklifts za parcels!

Diaspora wanajua umuhimu wa lugha ya kiingereza, waulize wakwambie!!
Mkuu, wewe ni mzalendo sana hakika. Umeongea kwa uchungu mno..
 
Mimi pia nilikuwaga chawa wa CCM kama wewe. Ila leo nipo ninapiga debe hapa stendi ya daladala.

Wanasiasa wakimaliza kukutumia watakutupa kama toilet paper..

Wewe endelea tu na uchawa..
Wewe ulikuwa mpumbavu ndio maana ulikuwa chawa na unatumiwa.

Mimi siko huko na Wala situmiki na mtu.

Nasema hivi, Waislamu wakituongiza tunapata newma sio kama wale watu wenu.
 
Back
Top Bottom